valet de chambre
JF-Expert Member
- Mar 12, 2017
- 1,044
- 1,112
Haijapata kutokea hii.Tff mnaruhusu vp mchezo dizaini hii, hata hauna mvuto
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haijapata kutokea hii.Tff mnaruhusu vp mchezo dizaini hii, hata hauna mvuto
Wanatuharibia tu mpira.Ila hako kambinu ka kuumia kamewasaidia sana kitayse!!
La si hivyo wangepigwa hata hamsini[emoji1787][emoji1787]
Mtanange wapi sasa.vituko tu.Ilikua kama rede.Mkuu mbona hutupi live huo mtanange unavyochezwa, upo chamazi kweli au upo kibanda umiza ?
Basi kiitwe "kisimamo" na siyo kikao.Balimi zinanitesa
Piga vitu mkuuBasi kiitwe "kisimamo" na siyo kikao.Balimi zinanitesa sana muda huu.🤔
nipo chamazi mechi imeisha kitayose wachezaji wawili wameumia kwa hyo hawawezi endelea kuchezaMkuu mbona hutupi live huo mtanange unavyochezwa, upo chamazi kweli au upo kibanda umiza ?
Kuna vigezo hawajakidhiduh, wamepewa kadi nyekundu ama?
AahaaaaaBasi kiitwe "kisimamo" na siyo kikao.Balimi zinanitesa sana muda huu.🤔
The result ..?please
4 _ 0The result ..?please
Duuh4 _ 0
Feitoto 3
Dube 1
Na mechi imevunjwa
Wale wa mikeka tunalipwa au beslips zinakuwa cancelled?4 _ 0
Feitoto 3
Dube 1
Na mechi imevunjwa
Umejua kunichekeshaLeo ndio siku ya dube kujichukulia ufungaji bora[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
What about the ones one the pitch at chamazi..? Or they enter free...?Sasa hapa kibanda umiza watu wanadai hela zao zirudishwe. Hahaha. Mpira burudani sana.