Super Sub Steve
JF-Expert Member
- Jul 9, 2011
- 17,404
- 10,900
Midfielders wa Juventus wapo vizuri hatariii,Huyu Pirlo analindwa na Pogba,Marchisio na Vidal ye anakuwa huru kuamua mpira uende wapi.Watu hawaangalii kona zote wameng'ang'ania MSN,Defense ya Juve pia ipo.vizuri,foward yao si ya kubeza.Mechi ni ngumu na wakienda matuta basi Barca OutWanachukulia hii mehi Kama mteremko,midfield ya juventus imeshiba,mtazamo wangu juve wanashinda au wataenda extra time mpaka matuta
Wanachukulia hii mehi Kama mteremko,midfield ya juventus imeshiba,mtazamo wangu juve wanashinda au wataenda extra time mpaka matuta
Midfielders wa Juventus wapo vizuri hatariii,Huyu Pirlo analindwa na Pogba,Marchisio na Vidal ye anakuwa huru kuamua mpira uende wapi.Watu hawaangalii kona zote wameng'ang'ania MSN,Defense ya Juve pia ipo.vizuri,foward yao si ya kubeza.Mechi ni ngumu na wakienda matuta basi Barca Out
Halafu si unajua ule mfumo wao midifield wengi,kwahiyo mipira inakuwa haiwezi kupita
Usisahau front three
kwa hyo mkuu dua zako ni matutaMidfielders wa Juventus wapo vizuri hatariii,Huyu Pirlo analindwa na Pogba,Marchisio na Vidal ye anakuwa huru kuamua mpira uende wapi.Watu hawaangalii kona zote wameng'ang'ania MSN,Defense ya Juve pia ipo.vizuri,foward yao si ya kubeza.Mechi ni ngumu na wakienda matuta basi Barca Out
Usisahau front three
hao watu ni habar nyingine
Dua zangu Juve abebe ndoo iwe kwa matuta,kwa goli.la mkono au kwa vyovyote vile.kwa hyo mkuu dua zako ni matuta
Tutaona
Dua zangu Juve abebe ndoo iwe kwa matuta,kwa goli.la mkono au kwa vyovyote vile.
MSN hope hamtaniangushaaaa mfikishe magoli 123 bas msimu huu et.
Ulimwengu Leo utashangaa kombe linachukuliwa mbele ya messi,neymar,suarez
Barca lazima atoe penzi leo
Kumbe unategemea miujiza?!