Mechi ya Barcelona na Juventus leo Juni 5, 2015

Fainali ya magoli mengi leo
 
Juventus vs FC Barcelona
[LINE-UP | ALINEACIONS | ALINEACIONES]
1.Ter Stegen
3.Piqué
4.Rakitic
5.Sergio
8.Iniesta
9.Suárez
10.Messi
11.Neymar
14.Mascherano
18.Jordi Alba
22.Alves
Substitutes / Suplents / Suplentes:
Bravo, Bartra, Mathieu, Adriano, Xavi, Rafinha, Pedro
 
HUU MPIRA UNAISHA KIPIND CHA KWANZA YAAN DK 45 JUVENTUS hawarud uwanjani wanaamua tu kombe litolewe kwa BARCA. YAAN BARCA wanashinda kwa TKO kama ni kwenye masumbwi tungeita hivyo. Juventus wanaona hamna haja ya kupoteza dk 45 za kipind cha pili heri wenye kombe lao wapewe wamalize mpira kwa aman.
 
labda ndoo ya maji ya kuogea watabeba kuwapelekea bafuni wanaume zao barca

Tunabeba zetu kombe tunaamsha Italy sasa msilie mkiambiwa wapelekeee maji wanaume bafun wakatoe jasho wapate nguvu mpya ya kusepa home Italy
 


utabiri wangu ni wazi kuwa Refa ataharibu mechi kama ilivyo kawaida hii timu ikicheza...
 

ha ha ha ha ha ha ha hyo kali mkuu
 
Barcelona wanafungwa 2-1
 

Kwa ile beki MSN hawaendi kokote.
 
Mechi itashindiwa kwenye mildfield. Timu itakayoshinda vita vya mieldfield ndiyo itakuwa bingwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…