Mechi ya Barcelona na Juventus leo Juni 5, 2015

Refa amemnyima Pirlo nafasi ya kufanya vitu vyake ..
 
Hivi Pogba anasifika kwa lipi? Tangu nianze kumwangalia(mechi kadhaa) sijagundua uzuri wake. Labda ni makengeza yangu naona dogo ni overrated my opinion.
 
kustaili hyo juve watapatia wap goli
 
Hivi Pogba anasifika kwa lipi? Tangu nianze kumwangalia(mechi kadhaa) sijagundua uzuri wake. Labda ni makengeza yangu naona dogo ni overrated my opinion.

akifunga ndio utamjua..
 
suarez leo sijui amekula maharage ya wapi?
 
Pogba anaweza kusaidia sana Juve kushinda mechi hii, lakini ametulizwa sana na Mascherano
 
Juve wapo slow na Barca wamemiliki midfield.
 
Badala yake Pogba sasa anaanza kucheza rafu, anamwangusha Messi katikati ya uwanja.

Dakika inakwenda ya 42 Barca 1 Juve o
 
Huyu refa naye!! Njano kwa juve tu. Neymar alifanya faul ya nyekundu kabisa ila hata njano haikutoka
 
To slow things down Juventus wameamua kuanza na Messi kwa kumdhibiti kwa njia ya rafu za hapa na pale. Pirlo nae amenza kazi.

Lakini muda unakwenda na ni dakika ya 44 labda ya mbili za nyongeza kabla ya mapumziko.

Barca 1 Juve 0
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…