Nimebet ..nitapata mihela si mchezo.Tuseme Suarez kang'ata:becky::becky:
Mturuki kashakuchukuwa chake mapema. Anapeta penati za Juventus
Huo ndio ukweli
Mkongwe Xavi anajiandaa kuingia na hii ikiwa pengine ni mechi yake ya mwisho kabla hajastaafu kucheza mpira.
Haya sasa chuma kimelia barca 2:1 juve
Jamaa rafu sana...
Kama goli la neema lingekubaliwa basi mechi ilikuwa imeisha
Nani mfungaji mkuu?