Edward A Chapa
JF-Expert Member
- Sep 3, 2014
- 961
- 1,380
Final ni Argentina vs Ureno na Bingwa ni Argentina!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ngojea nimfowadie mbappe hiki kichekesho.😂ENGLAND NI HATARI HAKUNA CHA BRAZIL WALA NANI.. HAWA JAMAAA WANACHUKUA NDOO.. VIUNGO WAO NI WAVUNJA KUNI HASA HAWANA MAMBO MENGI... KIUFUPI ENLAMD ANACHEZA MPIRA KAZI KAZI NA SIO UREMBO UREMBO WA BRAZIL ARGENTINA FRANCE UHOLANZI
Itakuwa bonge moja ya mechi, burudani ya kutosha. Wakimpa yule refa wa jana kati ya Morocco na Spain itakuwa poa maana hatoi kadi hovyo. Mimi nipo na Argentina maana hao wachezaji wa Brazil unaowataja walikuwepo uwanjani tulipochukua Copa America palepale kwao mwaka jana.Naisubiri kwa hamu sana semi final ya brazil vs argentina.. naoenda soka america kusini pale wanapokutana wapinzani wa jadi ufundi, kukamiana, ubabe n.k kikubwa tu iyo game refa asiwatishe wachezaji kwa kutoa kadi kizembe zembe watu tuone show ingawa karata yangu nampa brazil maana ile front 4 yao ujui umkabe nani umwache nani
Morocco hajapeleka moto bali alipelekewa moto na kupaki basi. Wana nidhamu ya hali ya juu hivyo mchezo utakuwa mzuri. Ureno wanao viungo wanaofungua njia ndio maana ninaona Morocco watatolewa kirahisi.Naona mnajifanya kama hamjaiona Morocco ilivowapelekea moto Spain
Hamna team pale Maguire aliwazawadia nafasi mbili GHANA wakashindwa kuzitumia mbape pale angewalaza na viatu ENGLAND kwa France hata laki naweka kwenye betting namuuwa ENGLAND.ENGLAND NI HATARI HAKUNA CHA BRAZIL WALA NANI.. HAWA JAMAAA WANACHUKUA NDOO.. VIUNGO WAO NI WAVUNJA KUNI HASA HAWANA MAMBO MENGI... KIUFUPI ENLAMD ANACHEZA MPIRA KAZI KAZI NA SIO UREMBO UREMBO WA BRAZIL ARGENTINA FRANCE UHOLANZI
Netherlands amefika hapo alipo kwasababu ya ubovu wa forward ya Marekani. Ile mechi yao wangeweza kupigwa hata 3 kipindi cha kwanza. Pia kaunta attacks zao zilikuwa nyepesi sana kwa timu compact kama Argentina hawataweza kuzipiga.Hakuna team zenye discipline kwenye kombe la dunia kama Netherlands na Morocco wanacheza kwa tahadhari sana huku silaha yao ikiwa ni counter attack hata jana kama yule striker wa MORROCO angekuwa makini mechi ilikuwa haifiki kwenye matuta na MORROCO wameruhusu goal moja tu toka june mpaka sasa na linyewe lilikuwa own goal ni kweli kwenye mpira lolote linawezekana ila Netherlands na Morocco wanavyocheza vile ndio huchezwa mechi za knockouts stage respect the opponent first and Morocco and Netherlands are better on defence let's wait and see what's coming.
Hawa wapo same route ni lazima zikutane nusu final kama zote zitafuzu kutoka roboFinal France vs Portugal
Halafu France atabeba ndoo kwa mara nyingine