Mechi ya jana Azam vs KMC goli la Iddy Nado kapiga chenga mabeki watano mpaka kipa kisha kufunga, kuna viashiria vya upangaji matokeo?

Mechi ya jana Azam vs KMC goli la Iddy Nado kapiga chenga mabeki watano mpaka kipa kisha kufunga, kuna viashiria vya upangaji matokeo?

OMOYOGWANE

JF-Expert Member
Joined
Dec 30, 2016
Posts
4,701
Reaction score
11,920
Wakuu,

Nimeona clip kijana wa azam akipiga chenga mabeki wa KMC kisha wakawa wanajiangusha,

Mabeki watano na kipa wa sita, tena akiwapita wanajiangusha na kunyanyuka kisha wanamuangalia tu kwa kusimama wala hawamkimbizi.

Kuna viashiria vya upangaji matokeo
GridArt_20240920_083001042.jpg



Najaribu kuiweka clip inagoma wajuzi nisaidieni ili na wengine waone hicho kichekesho cha mwaka
 
KMC ni timu ya vijana wazembe sana.Walifungwa kwa kuzubaa na uzembe wao.
KMC walizidiwa na uwezo wa Azam, Ni kama Azam alivyo fungwa na Yanga 4 au Simba alivyo fungwa 5 na akatandikwa Tena 3 ila refa Heri Sasi Goli mbili akazitia mfukoni.

Tofauti iliyopo KMC hawakutoka hadharani na kulalamika kwamba wachezaji wao ni Maduka, maana unaweza kutana na Yanga na refa asi kusaidie akakuburuza Goli zaidi ya Tano na hoja Yako ya wachezaji duka ikakosa mashiko.
 
Wakuu,

Nimeona clip kijana wa azam akipiga chenga mabeki wa KMC kisha wakawa wanajiangusha,

Mabeki watano na kipa wa sita, tena akiwapita wanajiangusha na kunyanyuka kisha wanamuangalia tu kwa kusimama wala hawamkimbizi.

Kuna viashiria vya upangaji matokeo
View attachment 3100833


Najaribu kuiweka clip inagoma wajuzi nisaidieni ili na wengine waone hicho kichekesho cha mwaka
Unaulizia makofi POLISI?
 
KMC walizidiwa na uwezo wa Azam, Ni kama Azam alivyo fungwa na Yanga 4 au Simba alivyo fungwa 5 na akatandikwa Tena 3 ila refa Heri Sasi Goli mbili akazitia mfukoni.

Tofauti iliyopo KMC hawakutoka hadharani na kulalamika kwamba wachezaji wao ni Maduka, maana unaweza kutana na Yanga na refa asi kusaidie akakuburuza Goli zaidi ya Tano na hoja Yako ya wachezaji duka ikakosa mashiko.
Changamoto yako:Umetumia sehemu kubwa kuelezea timu ambazo hazihusiki kwenye hoja.
 
Azam wana kikosi kizuri ni mechi za kimataifa tu ndio zinawashinda, subiri wakutane na Simba, utasema Simba nao wameuza mechi
 
Wakuu,

Nimeona clip kijana wa azam akipiga chenga mabeki wa KMC kisha wakawa wanajiangusha,

Mabeki watano na kipa wa sita, tena akiwapita wanajiangusha na kunyanyuka kisha wanamuangalia tu kwa kusimama wala hawamkimbizi.

Kuna viashiria vya upangaji matokeo
View attachment 3100833


Najaribu kuiweka clip inagoma wajuzi nisaidieni ili na wengine waone hicho kichekesho cha mwaka
Ni Saadun siyo Nado
 
Wakuu,

Nimeona clip kijana wa azam akipiga chenga mabeki wa KMC kisha wakawa wanajiangusha,

Mabeki watano na kipa wa sita, tena akiwapita wanajiangusha na kunyanyuka kisha wanamuangalia tu kwa kusimama wala hawamkimbizi.

Kuna viashiria vya upangaji matokeo
View attachment 3100833


Najaribu kuiweka clip inagoma wajuzi nisaidieni ili na wengine waone hicho kichekesho cha mwaka

Kolos mshaanza kuweweseka. Nafasi ya nne inawahusu
 
Mimi naona Azam inaweza kuwa imepata kocha baada ya kuhangaika kwa muda mrefu. Inawezekana Dabo alikuwa dalali wa wachezaji fulani fulani au alikuwa hajui kupanga kikosi
 
Wakuu,

Nimeona clip kijana wa azam akipiga chenga mabeki wa KMC kisha wakawa wanajiangusha,

Mabeki watano na kipa wa sita, tena akiwapita wanajiangusha na kunyanyuka kisha wanamuangalia tu kwa kusimama wala hawamkimbizi.

Kuna viashiria vya upangaji matokeo
View attachment 3100833


Najaribu kuiweka clip inagoma wajuzi nisaidieni ili na wengine waone hicho kichekesho cha mwaka
Nyie washabiki wapya wa mpira tabu sana
 
Mimi naona Azam inaweza kuwa imepata kocha baada ya kuhangaika kwa muda mrefu. Inawezekana Dabo alikuwa dalali wa wachezaji fulani fulani au alikuwa hajui kupanga kikosi
Muda utaongea
 
KMC walizidiwa na uwezo wa Azam, Ni kama Azam alivyo fungwa na Yanga 4 au Simba alivyo fungwa 5 na akatandikwa Tena 3 ila refa Heri Sasi Goli mbili akazitia mfukoni.

Tofauti iliyopo KMC hawakutoka hadharani na kulalamika kwamba wachezaji wao ni Maduka, maana unaweza kutana na Yanga na refa asi kusaidie akakuburuza Goli zaidi ya Tano na hoja Yako ya wachezaji duka ikakosa mashiko.
elimu elimu elimu......jibu swali lililoulizwa , ndo maana huko Yanga wenye akili ni wawili tu
 
Back
Top Bottom