Makoye Matale
JF-Expert Member
- May 2, 2011
- 6,491
- 2,104
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mikia wamesahau hata kushangilia, wanachojua ni kuzomea tu timu wasiyoipenda (timu ya kimataifa).
Matokeo ya leo:
Simba 0-0 Mwadui FC. Hakuna cha Niang wala mikia wengine!
Julio: Simba bado sana, mashabiki wasitegemee jipya watabaki vile vile tu kama msimu uliopita na misimu mingine iliyopita.
CC. Masuke, sembo, Katavi et al.
mikia wamesahau hata kushangilia, wanachojua ni kuzomea tu timu wasiyoipenda (timu ya kimataifa).
Matokeo ya leo:
Simba 0-0 Mwadui FC. Hakuna cha Niang wala mikia wengine!
Julio: Simba bado sana, mashabiki wasitegemee jipya watabaki vile vile tu kama msimu uliopita na misimu mingine iliyopita.
CC. Masuke, sembo, Katavi et al.
mikia wamesahau hata kushangilia, wanachojua ni kuzomea tu timu wasiyoipenda (timu ya kimataifa).
Matokeo ya leo:
Simba 0-0 Mwadui FC. Hakuna cha Niang wala mikia wengine!
Julio: Simba bado sana, mashabiki wasitegemee jipya watabaki vile vile tu kama msimu uliopita na misimu mingine iliyopita.
CC. Masuke, sembo, Katavi et al.
mikia wamesahau hata kushangilia, wanachojua ni kuzomea tu timu wasiyoipenda (timu ya kimataifa).
Matokeo ya leo:
Simba 0-0 Mwadui FC. Hakuna cha Niang wala mikia wengine!
Julio: Simba bado sana, mashabiki wasitegemee jipya watabaki vile vile tu kama msimu uliopita na misimu mingine iliyopita.
CC. Masuke, sembo, Katavi et al.
mkuu Kwan msenegal kucheza?? maana nashangaa kuona ukimya toka kwa kwa wanaz wa mikia fc tofauti na jinsi walivyokuwa wanaipa promo hiyo mechi ya kirafiki utadhan ni fainali ya CAN
Ilikuwa mechi ya kugombea nini??Juzi Dar Young African Alikuwa na Dada yao pale National stadium ktk ufunguzi wa VPL.
Dada huyoooooo ameolewaaaaaaaaaaaaa
Tanzania hamna wa kimataifa promo za magazeti zinatupotosha sana ila mpira wetu ni uleule tuu na hawa wachezaji tunaowanunua kwakusoma sifa google zinatudumaza .
Tanzania hamna wa kimataifa promo za magazeti zinatupotosha sana ila mpira wetu ni uleule tuu na hawa wachezaji tunaowanunua kwakusoma sifa google zinatudumaza .
ilikuwa ni mechi ya kugombea kusajiliwa kwa "straika hatari dogo lake na mshambuliaji határ la senegal mamadou niag"ila sasa sijui kama atasajiliwa maana hajafunga,,watamkata tu maana hakuna namna tena
Usijifariji kwa vijimaneno uchwara, wa kimataifa wapo na wa mchangani wapo hapa hapa Tanzania. Ukweli unauma, lakini hakuna jinsi!
mkuu Sibirien tu nafac yenu ya nne tena ,,kusema hakuna wakimataifa tanzania nitakukatalia, maana wanajulikana kabisa ni akina nani wala haina haja ya kuwataja nadhan hata wew unawafaham,, ila kwa hiyo kauli yako tunaita maneno ya mkosaji tu,, hamkumbuki mlivyotusumbua na ule wimbo wa MAVUGO??? ilikuwa ni kelele sana mjini
mkuu Sibirien tu nafac yenu ya nne tena ,,kusema hakuna wakimataifa tanzania nitakukatalia, maana wanajulikana kabisa ni akina nani wala haina haja ya kuwataja nadhan hata wew unawafaham,, ila kwa hiyo kauli yako tunaita maneno ya mkosaji tu,, hamkumbuki mlivyotusumbua na ule wimbo wa MAVUGO??? ilikuwa ni kelele sana mjini
Unashindwa kuqualifie hata group stage unajiita wa kimataifa??? Tunashindwa hata na wa sudan hapa hamna mpira maneno mengi ndio tunajua.
Nikupe pole tu kwakupenda chongo afu unasifia kinaona vizuri mi ni mpenzi wa mpira siyo shabiki wa team special tz kwakuwa nyote mmejaa uswahili afu mpira mbovu kila kukicha mnanunua wachezaji baada ya mwezi mnavunja mkataba yaan mpo careless mno ndio maana mpira wenu hauna future au plan b zaidi ya ushiriki tu wa mashindano maana hata ushindani hamtoi
Nikupe pole tu kwakupenda chongo afu unasifia kinaona vizuri mi ni mpenzi wa mpira siyo shabiki wa team special tz kwakuwa nyote mmejaa uswahili afu mpira mbovu kila kukicha mnanunua wachezaji baada ya mwezi mnavunja mkataba yaan mpo careless mno ndio maana mpira wenu hauna future au plan b zaidi ya ushiriki tu wa mashindano maana hata ushindani hamtoi
Ushindani upo, kwa taarifa zaidi kawaulize Etoile du Sahel na Al Ahly.