Mechi ya kirafiki: Tanzania na Jamhuri ya Kidemocrasia ya Kongo zimetoka sare ya kufungana 1 -1

Mechi ya kirafiki: Tanzania na Jamhuri ya Kidemocrasia ya Kongo zimetoka sare ya kufungana 1 -1

Hii timu kama ndio inaenda CHAN hamna kitu inabidi ivunjwe waitwe upya hamna timu hapo,

Kwaninii walimu wanamuacha mzamiru yasini,tz hamna namba 6 iliyokamilika kama mzamiru ila walimu huwa wana mu underestimate sijui kwa ninii
 
Kipindi cha pili kinaendelea. Dakika ni ya 51 hakuna mabadiliko ya scoreline
 
  • Thanks
Reactions: Lee
Dakika ya 52 tunarudisha goli out of blue.
Tanzania 1 DR CONGO 1
 
Back
Top Bottom