choza choza
JF-Expert Member
- Jan 17, 2019
- 2,081
- 3,831
Man united wameanza ligi kwa kuchechemea wakianza na ushindi wa mbinde nyumbani kisha kipigo ugenini kwa Spurs
Arsenal nayo imeanza ligi kwa ushindi wa mbinde 2-1 nyumbani dhidi ya N.forest na 1-0 dhidi ya C.palace ugenini
Ukweli ni kwamba Arsenal ameanza ligi na timu nyepesi nyepesi na ushindi wao wa mashaka mashaka, sioni tofauti kubwa kati yao na United
Hivyo natabiri kwamba Arsenal atapokea kichapo kutoka kwa Man united maana wataingia kichwakichwa kwa kuwadharau United.
Rashford atawaliza Arsenal.
NB. Mimi ni Liverpool
Arsenal nayo imeanza ligi kwa ushindi wa mbinde 2-1 nyumbani dhidi ya N.forest na 1-0 dhidi ya C.palace ugenini
Ukweli ni kwamba Arsenal ameanza ligi na timu nyepesi nyepesi na ushindi wao wa mashaka mashaka, sioni tofauti kubwa kati yao na United
Hivyo natabiri kwamba Arsenal atapokea kichapo kutoka kwa Man united maana wataingia kichwakichwa kwa kuwadharau United.
Rashford atawaliza Arsenal.
NB. Mimi ni Liverpool