Exogenous Factor
JF-Expert Member
- Nov 22, 2015
- 1,401
- 2,336
Bonyeza *149*89*09# kuendelea kupata vichekesho kama hivyo buuuuuureeee kabisa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usingewawekea picha...ungewauliza mara ya mwsho kushinda pale Emirates Man U ni lini???....alaf uwaache wakitafuta majibu😅😅😅Ndio ndio mcha-mbuziView attachment 2726370
Siku zinakaribiaNyumbu Hana mpira wakuifunga Arsenal
Na safari hii Degea hayupo ,anayepunguzaga magoli
Kumuuza Xhaka kumewapoteza vibaya sana hapo katiArsenal wabovu defense, winning lost balls, blocking opponents from easy access to their final third pitch area, hawana clinical finishers
Kumtukana nani?Naruhusiwa kumtukana?
Kumtukana nani?
Utamtukana ukimfungaNyumbu united
Man Yuu ya buza labdaMan united wameanza ligi kwa kuchechemea wakianza na ushindi wa mbinde nyumbani kisha kipigo ugenini kwa Spurs
Arsenal nayo imeanza ligi kwa ushindi wa mbinde 2-1 nyumbani dhidi ya N.forest na 1-0 dhidi ya C.palace ugenini
Ukweli ni kwamba Arsenal ameanza ligi na timu nyepesi nyepesi na ushindi wao wa mashaka mashaka, sioni tofauti kubwa kati yao na United
Hivyo natabiri kwamba Arsenal atapokea kichapo kutoka kwa Man united maana wataingia kichwakichwa kwa kuwadharau United.
Rashford atawaliza Arsenal.
NB. Mimi ni Liverpool
The Gunner..Manyoko
Haji hapa leobraza seleman nakusalimia...salamaleko