choza choza
JF-Expert Member
- Jan 17, 2019
- 2,081
- 3,831
Arsenal wabovu defense, winning lost balls, blocking opponents from easy access to their final third pitch area, hawana clinical finishersMan united wameanza ligi kwa kuchechemea wakianza na ushindi wa mbinde nyumbani kisha kipigo ugenini kwa Spurs
Arsenal nayo imeanza ligi kwa ushindi wa mbinde 2-1 nyumbani dhidi ya N.forest na 1-0 dhidi ya C.palace ugenini
Ukweli ni kwamba Arsenal ameanza ligi na timu nyepesi nyepesi na ushindi wao wa mashaka mashaka, sioni tofauti kubwa kati yao na United
Hivo natabiri kwamba Arsenal atapokea kichapo kutoka kwa Man united maana wataingia kichwakichwa kwa kuwadharau Unite.
Rashford atawaliza Arsenal.
NB. Mimi ni Liverpool
Nimewapa tahadhari mapemaa, nimewaangalia mechi zao mbili, bado kabisaArsenal wabovu defense, winning lost balls, blocking opponents from easy access to their final third pitch area, hawana clinical finishers
Sawa mjuvi mtufunge hata goli 5 ikiwezekanaNimewapa tahadhari mapemaa, nimewaangalia mechi zao mbili, bado kabisa
🤣🤣Man united wameanza ligi kwa kuchechemea wakianza na ushindi wa mbinde nyumbani kisha kipigo ugenini kwa Spurs
Arsenal nayo imeanza ligi kwa ushindi wa mbinde 2-1 nyumbani dhidi ya N.forest na 1-0 dhidi ya C.palace ugenini
Ukweli ni kwamba Arsenal ameanza ligi na timu nyepesi nyepesi na ushindi wao wa mashaka mashaka, sioni tofauti kubwa kati yao na United
Hivyo natabiri kwamba Arsenal atapokea kichapo kutoka kwa Man united maana wataingia kichwakichwa kwa kuwadharau United.
Rashford atawaliza Arsenal.
NB. Mimi ni Liverpool
Nb: mimi ni Liverpool, nawapa tuu Arsenal tahadhari msijesema hamkuambiwaSawa mjuvi mtufunge hata goli 5 ikiwezekana
Timu ninayoihofia msimu hii ni man city na liverpool basiNb: mimi ni Liverpool, nawapa tuu Arsenal tahadhari msijesema hamkuambiwa
Kikosi kibovu na baby coach anadharau senior players, mfano pepe ana umuhimu sana kuwepo kwenye kikosi msimu huuNimewapa tahadhari mapemaa, nimewaangalia mechi zao mbili, bado kabisa
Wacha uchawi mkuu,tuache tuna jambo letu msimu huuMan united wameanza ligi kwa kuchechemea wakianza na ushindi wa mbinde nyumbani kisha kipigo ugenini kwa Spurs
Arsenal nayo imeanza ligi kwa ushindi wa mbinde 2-1 nyumbani dhidi ya N.forest na 1-0 dhidi ya C.palace ugenini
Ukweli ni kwamba Arsenal ameanza ligi na timu nyepesi nyepesi na ushindi wao wa mashaka mashaka, sioni tofauti kubwa kati yao na United
Hivyo natabiri kwamba Arsenal atapokea kichapo kutoka kwa Man united maana wataingia kichwakichwa kwa kuwadharau United.
Rashford atawaliza Arsenal.
NB. Mimi ni Liverpool
Msimu ulioisha mkiwa mnaongoza ligi, mkaambiwa hamtabeba kombe lolote mkabishaWacha uchawi mkuu,tuache tuna jambo letu msimu huu
Bila shaka hizo SI akili za kichwani ni za kwenye masaburi,kwa akili za kichwani Man U hana mpira wa kuifunga Gunners iw e jua iwe mvuaMan united wameanza ligi kwa kuchechemea wakianza na ushindi wa mbinde nyumbani kisha kipigo ugenini kwa Spurs
Arsenal nayo imeanza ligi kwa ushindi wa mbinde 2-1 nyumbani dhidi ya N.forest na 1-0 dhidi ya C.palace ugenini
Ukweli ni kwamba Arsenal ameanza ligi na timu nyepesi nyepesi na ushindi wao wa mashaka mashaka, sioni tofauti kubwa kati yao na United
Hivyo natabiri kwamba Arsenal atapokea kichapo kutoka kwa Man united maana wataingia kichwakichwa kwa kuwadharau United.
Rashford atawaliza Arsenal.
NB. Mimi ni Liverpool
Uwezi kui linganisha hii arsenal na nyumbu man u.Arsenal wabovu defense, winning lost balls, blocking opponents from easy access to their final third pitch area, hawana clinical finishers
Tunazungumzia msimu huu tuache kidogo mkuuMsimu ulioisha mkiwa mnaongoza ligi, mkaambiwa hamtabeba kombe lolote mkabisha
Ushamuua Arsenal?Man united wameanza ligi kwa kuchechemea wakianza na ushindi wa mbinde nyumbani kisha kipigo ugenini kwa Spurs
Arsenal nayo imeanza ligi kwa ushindi wa mbinde 2-1 nyumbani dhidi ya N.forest na 1-0 dhidi ya C.palace ugenini
Ukweli ni kwamba Arsenal ameanza ligi na timu nyepesi nyepesi na ushindi wao wa mashaka mashaka, sioni tofauti kubwa kati yao na United
Hivyo natabiri kwamba Arsenal atapokea kichapo kutoka kwa Man united maana wataingia kichwakichwa kwa kuwadharau United.
Rashford atawaliza Arsenal.
NB. Mimi ni Liverpool