Mechi ya kwanza Arsenal kupoteza itakua dhidi ya Man united

Ramli potofu
 
Hongereni wana Gunners kwa ushindi, japo hali bado kidogo iwe tete
Ila wanastahili, wamecheza mpira mzuri mwanzo mwisho, Man Utd walikuwa wamepaki basi na kushambulia kwa kushtukiza. Arsenal asingeshinda ingeumiza sana kwa kiwango alichoonesha kwenye mpira wa jana.
 
Ikawaje ndugu yangu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…