Mechi ya marudiano na Raja AC inaninyima usingizi

Okwi alishawaduwaza Tunisia pia ,Kikosii kitapangwa hivi ..Golini Manula, Kapombe, ,Zimbwe,Kennedy,Onyango,Baka,Kanoute,Nyoni,Muzamiri,Kibu,Saidoo,
Hapo Hawatoboi..Kanoute akitolewa Kwa Kadi nyekundu anaingua Phiri!😁
 
Shukrani sana mkuu, nimeipokea hii
 
Watatunza energy ya mechi ya robo fainali. Hakuna kocha anayependa aingie katika mechi muhimu akiwa na wachezaji wanaokosa mechi kwa yellow au red cards au kwa majeraha
Tuombe iwe hivyo
 
Dawa ya kule n kuwa defensive tu...tunamuacha mbele Baleke tu [emoji1787][emoji1787]
Wale jamaa wana ufundi wa hali ya juu,, wana wachezaji wenye uwezo wa kufungua defense line ya wapinzani,, ukipaki basi unakuwa umeruhusu mashambulizi mfululizo matokeo yake mnapigwa 8
 
Rekodi ya kufungwa magoli mengi kwenye mechi moja (6) inashikiliwa na Gongowazi. Walifungwa goli 6 na Raja. Ni lazima tuweke rekodi sawa.
 
Raja ameshafuzu na tayari yuko na uhakika wa kuongoza kundi. Mechi yake dhidi ya Simba haitakua na umuhimu wowote.

Atapumzisha wachezaji wake muhimu, na hatakua na molari ya kupambana. Simba wakikaza, wanaweza kupata matokeo!
Kupigwa hamsa sio matokeo?
 
Rekodi ya kufungwa magoli mengi kwenye mechi moja (6) inashikiliwa na Gongowazi. Walifungwa goli 6 na Raja. Ni lazima tuweke rekodi sawa.
Shukrani mkuu,, kuna watu walishaanza kujisahaulisha..
 
Reactions: Tui
Mara ya mwisho Gongowazi kushiriki CAF Chmpions league walimaliza na pointi ngapi?Jikumbusheni ilikuwa mwaka 1998.Au wengine mlikuwa hamjazaliwa?
 
Draw inaweza kupatikana. Ni kwenda na line up ya kimkakati ya 5-4-1 kama ile ya Pablo mwaka jana dhidi ya Orlando Pirates.. 1) Manula 2) Kennedy Juma 3) M Husein 4) Inonga 5) Onyango 6) Mwenda 7) Kapombe 8) Nyoni 9) Kibu 10) Kanoute 11) Mzamiru
 
Pole mwanasimba mwenzngu tuko pamoja..
 
Unakosa usingizi kivipi sasa,ndo matokeo ya Mpira kushinda,kushindwa na sare.
Simba haiogopi changamoto
 

Mnaenda Kupakuliwa [emoji1787]
 
Unaweza kuandika ujinga na uzushi lakini haifuti ukweli.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…