Mechi ya marudiano na Raja AC inaninyima usingizi

Teh teh...hii comment imenivunja mbavu..
 
Hapigwi mtu mkono sheikh, sio kwamba simba anacheza hovyo hapana, hiyo nj strategy ya kucheza champions league. Ukitaka ufurahishe watu, utapiga pira kubwa ila full time matokeo hayapo upande wako..
 
Kawaida tu mbona al ahly jana kala 5 na nchi ipo shwari kabisa.
Mkuu unaandika hii post ukiwa wapi, nchi ipo shwari ?,, una wajua waarabu kweli, tena mashabiki wa timu kubwa kama ahly ?
 

Ni kupunguza idadi ya magoli kule lkn mbrazil akijitoa ufahamu basi ata enjoy show ya muarabu
 
Ni kupunguza idadi ya magoli kule lkn mbrazil akijitoa ufahamu basi ata enjoy show ya muarabu
Uko sahihi lazima tucheze defensive futbal..
 
Nami naiona Raja kwa mbali akiandaa goli tano za simba
Ila ni powa simba la mujini lipigwe k mwizi tu
Hakuna namna
 
Nami naiona Raja kwa mbali akiandaa goli tano za simba
Ila ni powa simba la mujini lipigwe k mwizi tu
Hakuna namna
Pamoja na yote ila mpira unadunda mkuu, utarudi hapa kuifuta comment yako
 
Raja ameshafuzu na tayari yuko na uhakika wa kuongoza kundi. Mechi yake dhidi ya Simba haitakua na umuhimu wowote.

Atapumzisha wachezaji wake muhimu, na hatakua na molari ya kupambana. Simba wakikaza, wanaweza kupata matokeo!
Unadhani hao ni watanzania wenye roho kama yako ya kimaskini?

Ama unadhani hiyo ni ndondo?
Simba naye si atakuwa amefuzu?
 
Mpira unadunda sehemu yeyote, hii simba inaweza ikawa shangaza,, tutampiga mtu hamsa hamtaamini.
Ni kweli,

Tatizo la Simba yetu Mkuu hawazitumii vizuri nafasi ukiangalia mchezo wa awali waarabu walikuwa wancheza kwa tahadhari Sana lakini baadae wakaona hatuna madhara mbele ya lango lao jamaa wakaanza kutiririka.
 
Ni kweli,

Tatizo la Simba yetu Mkuu hawazitumii vizuri nafasi ukiangalia mchezo wa awali waarabu walikuwa wancheza kwa tahadhari Sana lakini baadae wakaona hatuna madhara mbele ya lango lao jamaa wakaanza kutiririka.
Ni kweli mkuu, zina tengenezwa nafasi nyingi zinatumika chache
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…