Saidy Hamidu
Senior Member
- Mar 9, 2017
- 147
- 128
Yaaaani ninavyoipenda kiukweli ctaman kuambiwa chochote wala kusikia chochote ila tuu kuibali na kuishaingilia kwa nguvu cku kama ya leo. Japo najuwa nikirudi leo sauti itakuwa imeishia uwanjani kwa raha tuu za kushangilia.Ewaaaaaaa Saidy Simba ndio tumeshafika
hivyo viti lazima vikaliwe na mnyama...hah hah
Wakiona takwimu zinazowaumbua wanapotea ghafla. Wamebaki kupiga kelele zisizo na msingi wowote. Kimbilio lao ni goli sita.
Yanga itaendelea kuwa mbabe wa soka la Tanzania kwa karne zijazo.
Ndoo 27 dhidi ya 18 sio kazi ya leo kuziba hilo pengo
Kushinda mara 36 dhidi 26 sio kazi ya leo kuziba hilo pengo
SafiiiiiiiiiYaaaani ninavyoipenda kiukweli ctaman kuambiwa chochote wala kusikia chochote ila tuu kuibali na kuishaingilia kwa nguvu cku kama ya leo. Japo najuwa nikirudi leo sauti itakuwa imeishia uwanjani kwa raha tuu za kushangilia.
Sent using Jamii Forums mobile app
JULAI 19, 1977
Simba 6-0 Yanga
WAFUNGAJI:
Abdallah Kibadeni dk. 10, 42 na 89, Jumanne Hassan 'Masimenti' dk. 60 na 73, Selemani Sanga alijifunga dk. 20.
Daah, hizi historia ni bora zingekuwa zinafutika tuMEI 6, 2012
Simba 5-0 Yanga SC
WAFUNGAJI:
Emmanuel Okwi (dk 2 na 62), Felix Sunzu (penalti 56), Juma Kaseja (penalti dk 67) na Patrick Mafisango (penalti dk 72)
Mpira ni mgumu...ila hii kama si droo bas Yanga atashinda.Lakini Mpira unadunda jamani japo nipo Simba lakini hata Yanga anaweza akapata ushindi.
Wataaalam wa Mpira nadhani mmenisoma.
Sasa na wewe si uziweke tu hizo? Mfano:Mnachagua mnazoongoza tu. Weka hadi kagame, tusker, mapinduzi ndo ujue hizo rekodi zipoje
Sent using Jamii Forums mobile app