Mechi ya Ngao ya jamii, Yanga 4-5 Simba

Mechi ya Ngao ya jamii, Yanga 4-5 Simba

Wakiona takwimu zinazowaumbua wanapotea ghafla. Wamebaki kupiga kelele zisizo na msingi wowote. Kimbilio lao ni goli sita.

Yanga itaendelea kuwa mbabe wa soka la Tanzania kwa karne zijazo.

Ndoo 27 dhidi ya 18 sio kazi ya leo kuziba hilo pengo
Kushinda mara 36 dhidi 26 sio kazi ya leo kuziba hilo pengo


Hahahahaha
 
JULAI 19, 1977
Simba 6-0 Yanga
WAFUNGAJI:
Abdallah Kibadeni dk. 10, 42 na 89, Jumanne Hassan 'Masimenti' dk. 60 na 73, Selemani Sanga alijifunga dk. 20.
MEI 6, 2012
Simba 5-0 Yanga SC
WAFUNGAJI:
Emmanuel Okwi (dk 2 na 62), Felix Sunzu (penalti 56), Juma Kaseja (penalti dk 67) na Patrick Mafisango (penalti dk 72)
Daah, hizi historia ni bora zingekuwa zinafutika tu
 
Lakini Mpira unadunda jamani japo nipo Simba lakini hata Yanga anaweza akapata ushindi.

Wataaalam wa Mpira nadhani mmenisoma.
Mpira ni mgumu...ila hii kama si droo bas Yanga atashinda.

Halafu ikishashinda, Simba watalialia kuonewa au watakataa matokeo.

Tunawajua.
 
Back
Top Bottom