Mechi ya Ngao ya jamii, Yanga 4-5 Simba

Mechi ya Ngao ya jamii, Yanga 4-5 Simba

Yanga jinsi walivyojipanga kutodhalilishwa ktk mechi hii,wametumia nguvu kubwa sana kuzuia kudhalilika,ila wachezaje wake lazima leo walale na viatu,manake kwasakwasa walilopigiwa si la nchi hii
 
simba hovyo,no stamina,no plan,wanalimbizwa tu.kocha wao ajitazame,ni timu ambayo haina utafiti kwenye mipango yao.
 
simba hovyo,no stamina,no plan,wanalimbizwa tu.kocha wao ajitazame,ni timu ambayo haina utafiti kwenye mipango yao.


Hao wazuri,wenye stamina nzuri na plan wanaongoza goli ngapi???
 
Back
Top Bottom