Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio kwema?Kichwa kichafu
Mkuu tusimamie kanuni na sheria tulizojiwekea.Yanga safi sana kwa msimamo wenu
Taratibu taratibu wataelewa.Tutaelewana tu.
Kuna kivuli pale hakuna Kiongozi.Inno Bashungwa, Ni Waziri Mpumbavu sana tangu akiwa Wizara ya Viwanda
Safi sana mtani.TFF na bodi ya Ligi wote wajiuzulu. Huo uliofanyika ni upuuzi sana..
Mimi ni Simba damu, ila ubakaji uliofanyika ni ushenzi usiovumilika.
Waziri alipe hasara zote pia kuambatane na kujiuzulu.Waziri bado yupo kazini?Viingilio nani anarudisha?
Ni very hopeless. Amezubaa na mjinga sana. CCM kuna wapumbavu sana..mama nitamdharau asipowaweka pembeni huyu mshamba na mwenzake Abbas Hassan.
Utopolo walidhani wamekwepa kichapo kumbe kimeahirishwa tu! Bila shaka wamenuna!Yanga safi sana kwa msimamo wenu
Haohao Yanga hawakugoma Match na AZAM FC baada muda kusogezwa kwakuwa uwanja ulikuwa na matumizi mengine. Sema pia wameogopaTFF wanazngua yanga wapo sawa povu rukusa bt me n shabiki wa simba
Mbona YANGA Vs AZAM hawakugoma leo iweje. Na siyo hiyo match tu.Huu msimamo wa yanga nimeukubali na kwa hili simba wamejidharirisha wamekuwa kama mademu Malaya kutokuwa na msimamo
Na wewe unaleta chuki binafsi na MadamHaya ndo madhara ya kuongozwa na mwanamke