Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Simba hata kipindi cha mkataba wa azam tv Yanga walikomaa maslahi madogo simba wakaunga mkono juhudi,simba inapofika sehemu kujitoa uwa wanakua kama pakaHuu msimamo wa yanga nimeukubali na kwa hili simba wamejidharirisha wamekuwa kama mademu Malaya kutokuwa na msimamo
Wawarudishie pesa zaoMibomu ya machozi kutawanya watu. Starehe ishakuwa karaha🤣
Vip kama yeye ndo sababuHapa ni karata nyingine kwa mama Samia..mama weka pembeni haya majinga Bashungwa na Abbas. TFF nao wajitathmini. Watu wamepoteza muda na gharama zao.
Binafsi nimeamua kujiweka pembeni na upenzi wa soka la kibongo. Mpira wetu ni wa kujitekenya na kucheka wenyewe.
Pesa Wamechukua WarudisheWaziri bado yupo kazini?Viingilio nani anarudisha?
Huwezi kujua chanzo Hadi kuifanya wizara kuandika barua hiyo...usihukumu tu wenzio...mpira was TZ ni politics...Ni very hopeless. Amezubaa na mjinga sana. CCM kuna wapumbavu sana..mama nitamdharau asipowaweka pembeni huyu mshamba na mwenzake Abbas Hassan.
Bwana wee unaweza kukuta mkuu.Vip kama yeye ndo sababu
NaamYanga imejali maslahi yake bila kujali maslahi ya washabiki
Watu wamesafiri kutoka mikoani, wametumia gharama, wamepoteza muda wao zaidi ya saa 12
Ila wao hayo masaa 2 wameona la maana Sana zaidi ya hisia za washabiki wao
Wao wanahisi huo msimamo wao utawasaidia Nini? wametutia simanzi kwa kweli
Hueleweki. Hakuna excuse kwenye hili. Kuna mwongozo wa separation ya masuala ya soka na mambo mengine yoyote yaleHuwezi kujua chanzo Hadi kuifanya wizara kuandika barua hiyo...usihukumu tu wenzio...mpira was TZ ni politics...
Huoni kwamba hiyo ni sababu ya mashiko,haya tuambie leo match ilisogezwa mbele kwa sababu ipi?Haohao Yanga hawakugoma Match na AZAM FC baada muda kusogezwa kwakuwa uwanja ulikuwa na matumizi mengine. Sema pia wameogopa
Kwa hiyo mlitaka TFF wazoee huo ujinga?Pia YANGA vs BIASHARA United ilikuwa ichezwe saa 10 jioni ikasogezwa. Leo ndio wameona sheria ifuatwe.