Chukwu emeka
JF-Expert Member
- Jan 12, 2018
- 24,314
- 38,919
Hizo hela Serikali ichukue, ifanyie mambo mengine
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wa Baridi Sana WaziriMwangalie hata usoni Bashungwa,kama ni taahira fulani,mzembe mzembe sana alivyo
Mkuu hata siku moja kosa halihalalishi kosa kuwa sahihi.Mechi ya Yanga vs Azam ilibadilishwa kutoka saa 10 hadi saa 2:15 usiku na matangazo yalitolewa saa 6 mchana siku hiyohiyo ya mechi. Mechi ya Yanga vs Biashara United ilisogezwa mbele kutoka saa 10 hadi saa 1 na taarifa zilizotolewa saa 8 mchana siku hiyohiyo ya mechi. Katika mabadiliko hayo ya ratiba hatukuona watu wanagomea mchezo Je, ni kweli sababu za Yanga zina mashiko
[emoji57][emoji57][emoji57]
Bongo Sihami
Walikubaliana wote kwa pamoja, siyo uhuni wa leo, then saa 6 huwezi fananisha na saa 9 na mechi 11.....usidhani wanacheza cheza tu.....wachezaji inatakiwa wale chakula kabla ya mechi angalau masaa ma5 kabla ya mechi.Mechi ya Yanga vs Azam ilibadilishwa kutoka saa 10 hadi saa 2:15 usiku na matangazo yalitolewa saa 6 mchana siku hiyohiyo ya mechi. Mechi ya Yanga vs Biashara United ilisogezwa mbele kutoka saa 10 hadi saa 1 na taarifa zilizotolewa saa 8 mchana siku hiyohiyo ya mechi. Katika mabadiliko hayo ya ratiba hatukuona watu wanagomea mchezo Je, ni kweli sababu za Yanga zina mashiko
[emoji57][emoji57][emoji57]
Bongo Sihami
Sheria lazima zifuatwe na si vinginevyo. Yanga wako sahihi. Simba nao walipaswa kufika uwanjani labda kama hawazijui sheria wanasubiri maagizo!Yanga wamepata kisingizio!
Mbona wenzao hawana noma?!
Halafu huko ccm ndiyo mwenye nafuuMwangalie hata usoni Bashungwa,kama ni taahira fulani,mzembe mzembe sana alivyo
Bongo hakunaga uwajibikaji ndugu!Waziri,TFF, Bodi ya ligi wajiuzulu
Kwa sababu hawajielewi na wameshazoea kusaliti. Hii ni Mara ya pili Simba wanasaliti wenzao ktk jambo lenye maslahi kwa pande zote. Mara nyingine ilikuwa ni kwenye kagame cup sijui ni mwaka 2008, 2009!?Yanga wamepata kisingizio!
Mbona wenzao hawana noma?!
Wapo wana Simba wachache wanaojielewa!TFF wanazngua yanga wapo sawa povu rukusa bt me n shabiki wa simba
Ha ha ha ha haTuache masihara... leo umedhihirisha ni Mwanamichezo na sio Mwana-Manyau FC!! Yaani hawa wapumbavu wangejua walikonikurupua, lakini nafika njiani naambiwa mechi imeahirishwa!!!
Kama matusi ya kimoyomoyo ni kufungulia, yaani leo nimefuturu saa 9!!!
Ni viherehere vyenu nan kawaambia mlipe kwanza?Waziri bado yupo kazini?Viingilio nani anarudisha?
Sasa ndgu ino ataamua tu yeye jamani tumieni akili zenu basi msitumie kamasi kufkria!!Inno Bashungwa, Ni Waziri Mpumbavu sana tangu akiwa Wizara ya Viwanda
Mtanyooka tuuHapa ni karata nyingine kwa mama Samia..mama weka pembeni haya majinga Bashungwa na Abbas. TFF nao wajitathmini. Watu wamepoteza muda na gharama zao.
Binafsi nimeamua kujiweka pembeni na upenzi wa soka la kibongo. Mpira wetu ni wa kujitekenya na kucheka wenyewe.
Acha ujinga wewe mpumbavu mkubwaHaya ndo madhara ya kuongozwa na mwanamke
We kenge jishikilie mi siyo size yakoAcha ujinga wewe mpumbavu mkubwa
Namheshim sana ila wanaume wanawadharau sana wanawake.Bashungwa amesababisha hasara kubwa sana na anajua mama hamfanyi kituNa wewe unaleta chuki binafsi na Madam
...I hope hauko siriaz.Haya ndo madhara ya kuongozwa na mwanamke