SaaMbovu
JF-Expert Member
- Oct 8, 2013
- 6,027
- 5,344
Ila kiukweli waziri wa Michezo anatakiwa ajiuzulu au Mama amundoe tu ili iwe fundishoMambo ya ajabu sana haya,mimi ni Simba ila Mamlaka zimechemka sana leo...serious shughuli ya pale kwa mzee Ruksa ilete taharuki hii!!?
Cuz Watanzania wengi wameboreka sana leo, Serikali inaenda kulala leo bila baraka za watu wake.