Kichwa Kichafu
JF-Expert Member
- Apr 13, 2017
- 44,855
- 189,385
Utawaua kwa pressure hawa ndugu zetu watafungwa moja😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hilo ni tatizo la afya ya akili mkuuSijui utaweka wapi sura yako aisee we ni mwehu OKW BOBAN SUNZU Kalpana mnamuona mchawi wetu.
Tumembeba sana kimataifa huyu,Hilo ni tatizo la afya ya akili mkuu
Acha bangi mamaaKwenye ulimwengu wa wa roho
Mechi ya Simba ambayo itachezwa jpili, umeisha salama, sisi wataalam wa ulimwengu wa roho yaani tunaotazama matukio kabla hayajatokea tumeitazama imeisha hivo
Watakaotazama hiyo mechi watatazama marudio
Simba watapata goli dakika ya 19, Kwa mkwaju wa penalt, lakini striker hatari Mabululu atapata goli dakika ya 87
Haya matokeo katika mchezo huo ni mabaya Kwa Simba, na Simba atakuwa ameondoshwa kwenye mashindano
Sisi wataalam wa mambo ya rohoni, tumejaribu kubadilisha matokeo lakini imeshindikana
Nawapa pole sana mashabiki wa Simba Kwa matokeo hayo
Basi wajipange mwakani
Mwambie hata ikiisha hivyo bado tutatinga makundi...Sijui utaweka wapi sura yako aisee we ni mwehu OKW BOBAN SUNZU Kalpana mnamuona mchawi wetu.
Niondolee uzuzu wako bana...ndo nishasema hata tukitoka droo unayotaka tutaenda makundi...Tuendelee kumheshimu Rage
yaani wamepigwa ngumi jiwe kule libya na wanatolewa pia!!!!itakuwa kabambe sana hiyoKwenye ulimwengu wa wa roho
Mechi ya Simba ambayo itachezwa jpili, umeisha salama, sisi wataalam wa ulimwengu wa roho yaani tunaotazama matukio kabla hayajatokea tumeitazama imeisha hivo
Watakaotazama hiyo mechi watatazama marudio
Simba watapata goli dakika ya 19, Kwa mkwaju wa penalt, lakini striker hatari Mabululu atapata goli dakika ya 87
Haya matokeo katika mchezo huo ni mabaya Kwa Simba, na Simba atakuwa ameondoshwa kwenye mashindano
Sisi wataalam wa mambo ya rohoni, tumejaribu kubadilisha matokeo lakini imeshindikana
Nawapa pole sana mashabiki wa Simba Kwa matokeo hayo
Basi wajipange mwakani
na wewe unaahidi tIGo kama utopolo mwenzio aliyeahidi juzi?Imeisha hiyo
Huu uzi wa huyu ndugu unaangukia kwenye adui gani kati hao uliowataja?MAADUI WAKUBWA WA TANZANIA.
1. UMASIKINI.
2. UJINGA.
3. MARADHI.
JK NYERERE.
HAYA MAMBO YANATUTESA SANA WATANGANYIKA.
INAUMIZA MNO.
Hakika aliewaita utopwinyo aliwaza mbali sanaKwenye ulimwengu wa wa roho
Mechi ya Simba ambayo itachezwa jpili, umeisha salama, sisi wataalam wa ulimwengu wa roho yaani tunaotazama matukio kabla hayajatokea tumeitazama imeisha hivo
Watakaotazama hiyo mechi watatazama marudio
Simba watapata goli dakika ya 19, Kwa mkwaju wa penalt, lakini striker hatari Mabululu atapata goli dakika ya 87
Haya matokeo katika mchezo huo ni mabaya Kwa Simba, na Simba atakuwa ameondoshwa kwenye mashindano
Sisi wataalam wa mambo ya rohoni, tumejaribu kubadilisha matokeo lakini imeshindikana
Nawapa pole sana mashabiki wa Simba Kwa matokeo hayo
Basi wajipange mwakani
KAGOMA kunya.Malizaneni na kagoma