Mechi ya Simba vs Al Ahly Tripoli itaisha sare ya 1-1 hapo Jumapili

Mechi ya Simba vs Al Ahly Tripoli itaisha sare ya 1-1 hapo Jumapili

Kwenye ulimwengu wa wa roho
Mechi ya Simba ambayo itachezwa jpili, umeisha salama, sisi wataalam wa ulimwengu wa roho yaani tunaotazama matukio kabla hayajatokea tumeitazama imeisha hivo

Watakaotazama hiyo mechi watatazama marudio

Simba watapata goli dakika ya 19, Kwa mkwaju wa penalt, lakini striker hatari Mabululu atapata goli dakika ya 87

Haya matokeo katika mchezo huo ni mabaya Kwa Simba, na Simba atakuwa ameondoshwa kwenye mashindano

Sisi wataalam wa mambo ya rohoni, tumejaribu kubadilisha matokeo lakini imeshindikana

Nawapa pole sana mashabiki wa Simba Kwa matokeo hayo
Basi wajipange mwakani
Acha bangi mamaa
 
Hao jamaa hawana timu ya kumtoa Kolo Muhan. Japo mnatamani Simba atolewe ila sio kwa timu hiyo.
 
Niondolee uzuzu wako bana...ndo nishasema hata tukitoka droo unayotaka tutaenda makundi...
Kama umeleewa elewa kama hutaki acha..
Mtaenda makundi kombe la muungano
 
Kwenye ulimwengu wa wa roho
Mechi ya Simba ambayo itachezwa jpili, umeisha salama, sisi wataalam wa ulimwengu wa roho yaani tunaotazama matukio kabla hayajatokea tumeitazama imeisha hivo

Watakaotazama hiyo mechi watatazama marudio

Simba watapata goli dakika ya 19, Kwa mkwaju wa penalt, lakini striker hatari Mabululu atapata goli dakika ya 87

Haya matokeo katika mchezo huo ni mabaya Kwa Simba, na Simba atakuwa ameondoshwa kwenye mashindano

Sisi wataalam wa mambo ya rohoni, tumejaribu kubadilisha matokeo lakini imeshindikana

Nawapa pole sana mashabiki wa Simba Kwa matokeo hayo
Basi wajipange mwakani
yaani wamepigwa ngumi jiwe kule libya na wanatolewa pia!!!!itakuwa kabambe sana hiyo
 
Maisha ya mtanzania bwana unaweza kukuta hapo ulipokaa ukaandika hii thread watu wamekuona kwa muda mrefu kwa kuwa uko peke yako umeconcetrate wakahisi unawaza interview ya ualimu itakuwaje ili upite 😅😅 kumbe unawaza Simba ata droo 😅😅😅
 
Kwenye ulimwengu wa wa roho
Mechi ya Simba ambayo itachezwa jpili, umeisha salama, sisi wataalam wa ulimwengu wa roho yaani tunaotazama matukio kabla hayajatokea tumeitazama imeisha hivo

Watakaotazama hiyo mechi watatazama marudio

Simba watapata goli dakika ya 19, Kwa mkwaju wa penalt, lakini striker hatari Mabululu atapata goli dakika ya 87

Haya matokeo katika mchezo huo ni mabaya Kwa Simba, na Simba atakuwa ameondoshwa kwenye mashindano

Sisi wataalam wa mambo ya rohoni, tumejaribu kubadilisha matokeo lakini imeshindikana

Nawapa pole sana mashabiki wa Simba Kwa matokeo hayo
Basi wajipange mwakani
Hakika aliewaita utopwinyo aliwaza mbali sana
 
Back
Top Bottom