Mechi ya Simba vs Al Ahly Tripoli itaisha sare ya 1-1 hapo Jumapili

Acha bangi mamaa
 
Hao jamaa hawana timu ya kumtoa Kolo Muhan. Japo mnatamani Simba atolewe ila sio kwa timu hiyo.
 
Niondolee uzuzu wako bana...ndo nishasema hata tukitoka droo unayotaka tutaenda makundi...
Kama umeleewa elewa kama hutaki acha..
Mtaenda makundi kombe la muungano
 
yaani wamepigwa ngumi jiwe kule libya na wanatolewa pia!!!!itakuwa kabambe sana hiyo
 
Maisha ya mtanzania bwana unaweza kukuta hapo ulipokaa ukaandika hii thread watu wamekuona kwa muda mrefu kwa kuwa uko peke yako umeconcetrate wakahisi unawaza interview ya ualimu itakuwaje ili upite ๐Ÿ˜…๐Ÿ˜… kumbe unawaza Simba ata droo ๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…
 
Hakika aliewaita utopwinyo aliwaza mbali sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ