castieltsar
JF-Expert Member
- Jun 3, 2016
- 1,528
- 2,723
Si mmejinasibu kuwa mmesajili Nyota wa Kimataifa? kumbe mlituzuga huku mkijua mmesajili Makarasha tu. Ona sasa hata hawajaitwa hata kwenye Timu za Mchangani kwenye Nchi zao. Simba is Another Level. Utopolo ZZZZZZZZZZZZZZZZZZZZZZZZZZZZZZZZZZZZZZZZZZZZZZZ. Janja yenu tunajua si bado mnamsubiri Kocha awazoe Vilaza wake?Wameamua kuwabeba simba kwa mara nyingne tena..ni kwamba Yanga wachezaji wake wengi hawajaitwa kimataifa..mikia wao wameitwa so wanaona kama wasipokuwepo itakuwa soo wakt huohuo huwa wanajinasibu kuwa na kikosi kipana kama domo la msemaji wao.
Yanga wamehonga aisee sio bure ilikuwa wafe nane bila