AbuuMaryam
JF-Expert Member
- Dec 26, 2015
- 2,577
- 4,637
Walimtoaga yule NSAJIGWA alikuwa anajitahidi sana...waliyemleta ni ovyo kabisa...Hawa viongozi wa huu uwanja mimi naona wameshindwa kazi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Walimtoaga yule NSAJIGWA alikuwa anajitahidi sana...waliyemleta ni ovyo kabisa...Hawa viongozi wa huu uwanja mimi naona wameshindwa kazi
😁😆😆Kwa wenzetu umeme ukikatika ni jambo la kushangaza sana. Wanaweza kuja hata kutengeneza movie kuhusu tukio hilo.
Ni kwa nchi hii tu. Lakini kwa nchi zilizopiga hatua kama Kenya hapo Hakuna wa kuulizwa zaidi ya waziri. Hapo umeongezea na waziri wa mchezo,na wao watajua watu wao. Unafikiri Mwinyi alivyojiuzuru kufariki kwa maabusu,kwani kule kulikuwa hamna wakuu wa hizo magereza?.Kwa upande wangu sidhani kama wazir wa nishati anahusika directly na lililotokea leo,unaweza kukuta uwanja haupati service inavyotakiwa
acha kumtaja huyo ibilisi shetani