Ndio maana sipendi mipira ya kibongo
Khaa!! Haya bwanaSio tu wakibongo, mie na mpira mbali mbali. Mapenzi ya hadi kuumia siyataki kabisa. Hakuna timu isiyofungwa hata iwe bora kiasi gani. Mbaya zaidi unaumia kwa kitu ambacho hauwezi kufanya jitihada mshinde, wewe una haki ya kuhuzunika tu au kufurahi.
Hv huu upuuzi huwa mnautoa wapYanga 3. T p Mazembe 1. Nina uhakika wa 100% yanga lazima ashinde. T.P. Mazembe baadhi ya wachezaji nimeongea nao wana mgomo baridi hawajalipwa mishahara baada ya bosi wao Katumbi kupata matatizo ya kisiasa Congo . hawana ari kabisa
kufa kiume ndio kifo gan sasa wakati wenzio wamesokomezwa boriti moja kwa nnya!! hahaTeam ya Dar Young Africans leo imefanikiwa kuchapwa bao Moja na TP Ya TP Mazembe katika uwanja wa Taifa Dsm.
Katika Pambano hilo Yanga walicheza Kabumbu safi sana ambalo haljawah kuonekana Dunian lakin bahat tu haikiwa yao baada ya mipira yao mingi kugonga mwamba na kutoka sentimita chache sana.
Kiukwel team hii IMEENDELEA KUFA KIUME katika mechi zake za hivi karibuni.