Mechi ya Yanga na Azam yasogezwa mbele kuipa nafasi michuano ya AFL

Ilikuwa kuna tofauti ya siku mbili hapo mwanzo sasa sijui shida ilikuwa ni ipi wakati timu zinazocheza hazihusiani na hayo mashindano. Marefa na uwanja pia utakaotumika hausiani na hayo mashindano. Kulikuwa na sababu zipi za kusogeza mechi mbele?
 
Ni upumbavu ku ahirisha mechi za ligi za Yanga ili kuangalia Matamasha.

Hivi kweli soka la Yanga ikiwa inacheza utafananisha na ayo ma bonanza!!
Yanga haijacheza takriban wiki mbili Nchi imekua kama ina msiba.

Hivi tunawezaje kukaa siku zote hizo bila Yanga kucheza!!! TFF Mna hatarisha afya za Wananchi walio wengi kwamambo ya kipuuzi.

Kuisogeza mechi ya Yanga kwa nusu saa tu ni sawa kukata umeme siku nzima. Sasa wafidie tuwe tunacheza dk 150 maana raha za yanga hazina mfano.
 
kaa kwa kutulia kijana kuna wazee humu, afu jiandae kumwona Wenger kwa mara ya kwanza na ya mwisho katika maisha yako. Pia kumbuka mwenye mpira wake hapa duniani Mr. Gianni Infantino - wewe ni nani ?

Wahimize uto wenzio waje kujifunza pira linavyochezwa, ile siyo IHEFU 😀 😀
 
Utopolo mkiambiwa AFL ni jambo kubwa mkubali tu..yaani NBC league inaonekana kama ndondo
 
Kwanini mechi ichezwe Jumatatu siku ya kazi?
Hiyo ligi ya makolo haihusiki na Yanga.
 
Duuuu
 
Ilikuwa kuna tofauti ya siku mbili hapo mwanzo sasa sijui shida ilikuwa ni ipi wakati timu zinazocheza hazihusiani na hayo mashindano. Marefa na uwanja pia utakaotumika hausiani na hayo mashindano. Kulikuwa na sababu zipi za kusogeza mechi mbele?
Jumapili jioni kuna mechi ya TP mazembe na inapigwa hapo kwa mkapa
 
Sasa nika mshangae Wenga au Infantino kwa lipi alilowahi kufanya katika ulimwengu wa soka !! Mtu ambaye hana medali ya ubingwa wa ulaya nishangae nini kwake?
 
Yan gem za AFL znaendelea na afu na bonanza liwepo sku hyo hyo ,,,bonanza lisubl kwanza
 
Tarehe 22 October 2023 wanacheza TP Mazembe and Esperance Sportive de Tunis Benjamin Mkapa Stadium baada ya uwanja wa TP mazembe wa Kongo kufungiwa kwa mechi hiyo.

Haituhusu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…