We vaa Jezi ya Wananchi ukaangalie pira Burudaaaaaniiiiiii.... vaa ata ya dhamani sharti ni origino ..au hamia Yanga utapewa huko ktk matawi ya Wanachama...GSM imewalipia mashabiki wa Yanga viingilio kwenye mechi ijayo na Mediama lakini getini uwe umevaa jezi original.
Huu ni ujuha na siyo msaada jezi kuwa ticket ya kuingia uwanjani,wote tunapenda kuangalia mpira,huwezi kupanga wote tuvae jezi za Yanga ndo tuingie uwanjani.
Na wala siyo bure,ina maana gani watu kulipiwa tickets wakati kiingilio uwe na jezi
Kama siyo uwendawazimu ni nini ninunue dekio kwa 35,000 ili niingie uwanjani bure wakati kiingilio ingekuwa 3,000We vaa Jezi ya Wananchi ukaangalie pira Burudaaaaaniiiiiii.... vaa ata ya dhamani sharti ni origino ..au hamia Yanga utapewa huko ktk matawi ya Wanachama...
Daima mbeleeeeeee [emoji16]
Sent from my M10_Max using JamiiForums mobile app
Wengine ni wapenzi wa mpira hatuchagui mechi ya kuangalia lakini hatupendi kuvaa madekioMechi ya Yanga na madeama wewe kolokwinyo mechi yako si na Wydad?
Watu wakaenda mpaka Zanzibar, msuli wa beka sijui baka ila holaaa.We vaa Jezi ya Wananchi ukaangalie pira Burudaaaaaniiiiiii.... vaa ata ya dhamani sharti ni origino ..au hamia Yanga utapewa huko ktk matawi ya Wanachama...
Daima mbeleeeeeee [emoji16]
Sent from my M10_Max using JamiiForums mobile app
Angekuwa Yanga angepigwa 3-0 bila na Wydad.Mechi ya Yanga na madeama wewe kolokwinyo mechi yako si na Wydad?
GSM imewalipia mashabiki wa Yanga viingilio kwenye mechi ijayo na Mediama lakini getini uwe umevaa jezi original.
Huu ni ujuha na siyo msaada jezi kuwa ticket ya kuingia uwanjani,wote tunapenda kuangalia mpira,huwezi kupanga wote tuvae jezi za Yanga ndo tuingie uwanjani.
Na wala siyo bure,ina maana gani watu kulipiwa tickets wakati kiingilio uwe na jezi
Kiingilio 3000 kwani umeambiwa mechi ya Mbumbumbu Fc hiyo .... Kijana wa Rage bhana!!!Kama siyo uwendawazimu ni nini ninunue dekio kwa 35,000 ili niingie uwanjani bure wakati kiingilio ingekuwa 3,000
Sent using Jamii Forums mobile app
Mechi ya Jezi ...vaa Jezi tu ya Mwananchi FC ..ukajikumbushe goli 5awamu hii mechi ni ya mchezaji gani?
Safi sana. Naunga mkono hoja. Viherehere wote wa kushangilia wageni, chaliii!!! 😁GSM imewalipia mashabiki wa Yanga viingilio kwenye mechi ijayo na Mediama lakini getini uwe umevaa jezi original.
Huu ni ujuha na siyo msaada jezi kuwa ticket ya kuingia uwanjani,wote tunapenda kuangalia mpira,huwezi kupanga wote tuvae jezi za Yanga ndo tuingie uwanjani.
Na wala siyo bure,ina maana gani watu kulipiwa tickets wakati kiingilio uwe na jezi
Pilipili usiyoila inakuwashia nini Kolowizards,[emoji848][emoji1]Kama siyo uwendawazimu ni nini ninunue dekio kwa 35,000 ili niingie uwanjani bure wakati kiingilio ingekuwa 3,000
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuanza kuchagua rangi ndiyo kutawaletea usumbufu mashabiki. Maana kila shabiki ana jezi yenye rangi anayoipenda.Watumie akili watangaze rangi ya siku hiyo kama ni njano pekee au kijani pekee. Hiyo ingeleta maana kwa uwanja kupendeza kwa rangi Moja tofauti na Sasa ambapo jezi zipo za rangi nyingi. Hilo la jezi original haliwezekaniki ila la rangi Moja mtu aje na jezi ya mwaka wowote ila rangi hiyo iliyotangazwa na iwe ndio tiketi yake ya kuingia uwanjani linge swihi Sana na uwanja ungekuwa kama was ulaya au urarabuni
Kipimo cha jezi OG ni kipi?GSM imewalipia mashabiki wa Yanga viingilio kwenye mechi ijayo na Mediama lakini getini uwe umevaa jezi original.
Huu ni ujuha na siyo msaada jezi kuwa ticket ya kuingia uwanjani,wote tunapenda kuangalia mpira,huwezi kupanga wote tuvae jezi za Yanga ndo tuingie uwanjani.
Na wala siyo bure,ina maana gani watu kulipiwa tickets wakati kiingilio uwe na jezi
Acha upotoshaji wewe.RED CROSS WAANDAE MACHERA, SERIKALI YA MKOA PIA WAJIANDAE KWA LOLOTE.
Tangu Uwanja wa Benjamini Mkapa Uzinduliwe Mechi yoyote ya Bure Inayohusu Yanga Maafa yanatokea tokea enzi za Manji. Mara nyingi hutokana na watu kusukumana hasa uwanja unapojaa. Na mengine yametokea hata mwaka haujaisha.
Jiweke mbali na haya matatizo na msije kusema hatukutoa tahadhari. Serikali ilipaswa kukataa huu ujinga unaogharimu maisha ya Watanzania kila mwaka. Jinga sana.
Kwaherini.