Mechi ya Yanga na Mediama kiingilio bure ila uwe na jezi OG

Mechi ya Yanga na Mediama kiingilio bure ila uwe na jezi OG

GSM imewalipia mashabiki wa Yanga viingilio kwenye mechi ijayo na Mediama lakini getini uwe umevaa jezi original.

Huu ni ujuha na siyo msaada jezi kuwa ticket ya kuingia uwanjani,wote tunapenda kuangalia mpira,huwezi kupanga wote tuvae jezi za Yanga ndo tuingie uwanjani.

Na wala siyo bure,ina maana gani watu kulipiwa tickets wakati kiingilio uwe na jezi
Wewe huna akili na ni hasara Kwa familia yako.

Mechi ya Yanga na hamasa wanafanyiwa Wana Yanga wenye timu Yao wewe kinapwita nini?

Halafu GSM amenunuwa ticket za mzunguko tu wewe kama kidume kweli kanunuwe ticket za VIP uingie usituletee ushubwada hapa na gubu la kizaramo.
 
Kama GSM mnamuita tajiri wenu, SportPesa ni nani wenu? Na hao wengine Haier na Whizmo wenye mikataba ya siri kuliko ya nchi nao mnawaitaje?
Kumbe wewe kichwani zimejaa fungus, sasa Haier si ndio GSM? Kumbe huwa mnaropoka Vitu msivyovijuwa.

Sportpesa siyo tajiri wa Yanga, ni business partner, hakuna pesa anatowa sportpesa haipo kwenye mkataba.
 
Wewe huna akili na ni hasara Kwa familia yako.

Mechi ya Yanga na hamasa wanafanyiwa Wana Yanga wenye timu Yao wewe kinapwita nini?

Halafu GSM amenunuwa ticket za mzunguko tu wewe kama kidume kweli kanunuwe ticket za VIP uingie usituletee ushubwada hapa na gubu la kizaramo.
Hakikisheni mnatutengea sehemu yetu sisi mashabiki wa Medeama kama sheria za CAF zinavyotaka na msitusumbue kama mlivyowasumbua mashabiki wa Al Ahly. Tuachieni siti za kutosha tujimwaemwae wakati tunawaondoa mashindanoni.
 
Leta habari kamili basi? Jezi yoyote ya Yanga au za msimu huu pekee?
Na ni za mashindano yote au haya ya CAF pekee?
Jezi zozote original, hiyo ni offer ya mzunguko Sisi wa VIP haituhusu.
 
Mimi sio mpiga ramli ala najua siku ya game hata uwe na jezi nyekundu nusu saa kabla ya mechi kuanza utaruhusiwa kuingia
 
Kama GSM mnamuita tajiri wenu, SportPesa ni nani wenu? Na hao wengine Haier na Whizmo wenye mikataba ya siri kuliko ya nchi nao mnawaitaje?
Njoo nikuazimishe jezi orijino wewe ukawaangalie Wananchi. Hayo maswali yako yote hayana mashiko.
 
GSM imewalipia mashabiki wa Yanga viingilio kwenye mechi ijayo na Mediama lakini getini uwe umevaa jezi original.

Huu ni ujuha na siyo msaada jezi kuwa ticket ya kuingia uwanjani,wote tunapenda kuangalia mpira,huwezi kupanga wote tuvae jezi za Yanga ndo tuingie uwanjani.

Na wala siyo bure,ina maana gani watu kulipiwa tickets wakati kiingilio uwe na jezi
Sio lazima kila mara kuandika uzi hasa kwa timu isiyo kuhusu, halafu mbona kawaida Mwaka jana Wydad na Mamelod nusu fainali ilikuwa kiingilio bure. Nyie endeleni na kushirikiana na Miso Misondo muujaze uwanja, kwani kila timu ina style yake na ukiona hivyo timu ipo vizuri kiuchumi.

Juzi mliruka kwenye viti na kutuvunjia viti faini kapigwa Yanga, so ww kama hutaki kuvaa jezi ya Yanga kaa nyumbani.
 
Kama siyo uwendawazimu ni nini ninunue dekio kwa 35,000 ili niingie uwanjani bure wakati kiingilio ingekuwa 3,000

Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa timu yako, juzi 5imba ilishusha vingilio toka 5000 mpaka 3000,ila hata robo ya uwanja hamkujaza, halafu tusipangiane, wewe jiunge na Miso Misondo kuhamasisha watu waingie.
 
Hakikisheni mnatutengea sehemu yetu sisi mashabiki wa Medeama kama sheria za CAF zinavyotaka na msitusumbue kama mlivyowasumbua mashabiki wa Al Ahly. Tuachieni siti za kutosha tujimwaemwae wakati tunawaondoa mashindanoni.
Mtuvunjie viti faini halafu faini apigwe Yanga.
 
GSM imewalipia mashabiki wa Yanga viingilio kwenye mechi ijayo na Mediama lakini getini uwe umevaa jezi original.

Huu ni ujuha na siyo msaada jezi kuwa ticket ya kuingia uwanjani,wote tunapenda kuangalia mpira,huwezi kupanga wote tuvae jezi za Yanga ndo tuingie uwanjani.

Na wala siyo bure,ina maana gani watu kulipiwa tickets wakati kiingilio uwe na jezi
Sa itakuwaje kwa mashabiki wa uto wanaopenda jezi za Simba?
Maana nawaona siku hizi wameongezeka sana.Wanavaa jezi za mnyama huku wanashabikia utopolo
 
mbwaa wa kariakoo msimbazii kwiooo nunueni jezi,,og
 
Mtuvunjie viti faini halafu faini apigwe Yanga.
Tiini sheria bila shuruti. Mashabiki wa Medeama tutakuja vizuri tu na kila mmoja atavaa jezi yoyote atakayoona inamfaa na tuhajitaji ulinzi wa kutosha kushangilia timu yetu. Una shida yoyote kwenye hilo?
 
Tiini sheria bila shuruti. Mashabiki wa Medeama tutakuja vizuri tu na kila mmoja atavaa jezi yoyote atakayoona inamfaa na tuhajitaji ulinzi wa kutosha kushangilia timu yetu. Una shida yoyote kwenye hilo?
Mvunje viti then faini alipe Yanga. Nyie endeleeni kumfuata DJ na Misondo mtuachie mechi yetu.
 
Mvunje viti then faini alipe Yanga. Nyie endeleeni kumfuata DJ na Misondo mtuachie mechi yetu.
Wewe kisokolokwinyo mmoja uliye huko Mwandiga ndani ndani ndiyo ujue nini kimetokea uwanjani kuwazidi wale waliokuwepo
 
Yanga ina washabiki wajinga sana.

Yaani kila mara theme za kitoto tu.

Mara msuli.

Mara kukunja bukta.

Mara sijui supu.

Mara jezi OG.

Sasa wataweza kweli kujua uhalisia wa jezi kwa maelfu ya mashabiki.

Au labda wenzetu wanavipimo vya jezi .

Ilimradi ujinga ujinga tu.
 
Back
Top Bottom