Mechi ya Yanga ndio ilipaswa kuwekwa sinema zetu

Hahahha manara jau sana [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Alisikika mzee mpili
 
Naona kabisa mbumbumbu fc kinachowafanya muweweseke hivi ni kimoja cha zawadi mauya. Hamna jipya nyie. Alafu bingwa alipatikana tar 3 hizi mechi zingine ni kukamilisha ratiba tu. Hata nyie mbumbunyo mnalijua hilo. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hayoooooo
 
Kumbe skuizi bingwa wa ligi anapatikana kwenye mchi moja ?
 
Matusi ya nini ndugu,nitatoa bastola
Fala huyu mtoa post, hana hata fikra kuwa mechi ya Yanga imewekwa Sports 2 kwa sababu ili uione lazima ulipie kifurushi kikubwa tofauti na Sinema Zetu ambayo unaipata kwa kifurushi cha chini.
Lengo lake ni kuishusha Yanga hadhi so lazima ajibiwe kikuda tu
 
Umepaniki Brother [emoji23][emoji23]
 
ukweli unabaki kama ulivo, hata azam waoneshe mechi za yanga pekee hawawezi pata hasara
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…