Mechi ya Yanga vs kaiza chiefs, tiketi zote SOLD OUT, wa south wana hamu ya kuitazama Yanga

Mechi ya Yanga vs kaiza chiefs, tiketi zote SOLD OUT, wa south wana hamu ya kuitazama Yanga

Mimi princess Arry shabiki kindaki ndaki wa Yanga! Naomba kesho tuwapige Kaizer Chief kichapo cha kizalendo. Undugu tuweke pembeni!
Tukialikwa tualikike
 
Mimi princess Arry shabiki kindaki ndaki wa Yanga! Naomba kesho tuwapige Kaizer Chief kichapo cha kizalendo. Undugu tuweke pembeni!
Tukialikwa tualikike
Cheki huyu anavyokurupuka hajui hata chama lake linakipiga lini....
Ila ya Simba anavyo yafatilia
....ya sanda mala oooh kimbu ndenichi
 
Uto bado ni underdog hapa Afrika na Kwa uongozi unaopikia mashabiki njaa chapati na supu Uto itabaki kuwa kongwe tu.
 
Cheki huyu anavyokurupuka hajui hata chama lake linakipiga lini....
Ila ya Simba anavyo yafatilia
....ya sanda mala oooh kimbu ndenichi
WATU WAJF BWANA!! Mnakuja juu kisa vitu ndogo ndogo kwani hakunaga kusahau siku mzee
AU unadhani tunalala tunaamka kama walimu na wanafunzi kusema tunazingatia tarehe na siku za mwaka mzima???
Haya wanacheza Tarehe 28/07/2024 Saa 10:00 uwanja wa. TOYOTA STADIUM /BLOEMFOntein SOUTH AFRICA
-Kombe la Toyota
- uwanja unauwezo wa kubeba watu 46000 na tayari Ticket - Soldout
 
WATU WAJF BWANA!! Mnakuja juu kisa vitu ndogo ndogo kwani hakunaga kusahau siku mzee
AU unadhani tunalala tunaamka kama walimu na wanafunzi kusema tunazingatia tarehe na siku za mwaka mzima???
Haya wanacheza Tarehe 28/07/2024 Saa 10:00 uwanja wa. TOYOTA STADIUM /BLOEMFOntein SOUTH AFRICA
-Kombe la Toyota
- uwanja unauwezo wa kubeba watu 46000 na tayari Ticket - Soldout
Na ni moja ya viwanja vizuri SA maana ni Uwanja ambao Timu ya Rugby inautumia hapo una seat nzuri na majukwaa yenye viwango..
 
Acha kudanganya watu wewe chura 🐸 ..

"Not only are fans guaranteed live entertainment by renowned artists and two football matches on match day, but there’s also an exciting prize give-away, which will see one lucky fan leave the Toyota stadium with a brand-new Toyota Corolla Cross XI CVT worth over R400 000"
CorollaCross_Xi_040_RGB-scaled-1-2.png
 
Timu ambayo ina washabiki wengi South Africa ni Kaizer chiefs ikifuatiwa na Orlando pirates, ndio maana tiketi tayari zimeisha kama hapa Tz Simba
 
WATU WAJF BWANA!! Mnakuja juu kisa vitu ndogo ndogo kwani hakunaga kusahau siku mzee
AU unadhani tunalala tunaamka kama walimu na wanafunzi kusema tunazingatia tarehe na siku za mwaka mzima???
Haya wanacheza Tarehe 28/07/2024 Saa 10:00 uwanja wa. TOYOTA STADIUM /BLOEMFOntein SOUTH AFRICA
-Kombe la Toyota
- uwanja unauwezo wa kubeba watu 46000 na tayari Ticket - Soldout
Ulijizima data sio,
 
Acha kudanganya watu wewe chura 🐸 ..

"Not only are fans guaranteed live entertainment by renowned artists and two football matches on match day, but there’s also an exciting prize give-away, which will see one lucky fan leave the Toyota stadium with a brand-new Toyota Corolla Cross XI CVT worth over R400 000"View attachment 3053288
Kwahiyo tiketi hazijaisha?
 
Back
Top Bottom