Mechi ya Yanga vs kaiza chiefs, tiketi zote SOLD OUT, wa south wana hamu ya kuitazama Yanga

Mechi ya Yanga vs kaiza chiefs, tiketi zote SOLD OUT, wa south wana hamu ya kuitazama Yanga

Tarehe 8 ndio utajua kama ni utani

Nikiri tu, ni kweli nina hofu na tarehe 8 maana tuna timu mpya na sijajua kama wanajua uzito wa hii mechi na kama kocha kaweza kuunganisha timu.

Ila usijiamini kupita kiasi, huu ni mpira na huendi kucheza na Chura queens, unakutana na mnyama mwenye kikosi kipya, pona yenu ni kutegemea kikosi kiwe bado hakijawa timu.
 
Nikiri tu, ni kweli nina hofu na tarehe 8 maana tuna timu mpya na sijajua kama wanajua uzito wa hii mechi na kama kocha kaweza kuunganisha timu.

Ila usijiamini kupita kiasi, huu ni mpira na huendi kucheza na Chura queens, unakutana na mnyama mwenye kikosi kipya.
😅😅😅Unaona Sasa
Umeanza kukubali.
Kula goti litapigwa
 
Mechi ya Yanga na Kaizer chiefs imevunjwa record ya soccer la south Africa kuuzwa zote kabla ya siku mbili ya mchezo.

Unaambiwa mtaani watu wa South Africa wanahamu sana kuitazama team kubwa Africa Young Africans

Wanataka wamuone Aziz ki, Chama, mudathir n.k

Hii team ya Young Africans ishakuwa team kubwa Africa wamefanya pre season kubwa, wamecheza na team ya Bundasliga na zingine za South Africa

Mbumbumbu huko Egypt wao ni kucheza na team dhaifu za wanafunzi wa vyuo vya Madrasa na matokeo kuwa ya kificho wakitaka mashabiki wa Simba wasione.

Go Yanga tuwakilishe
Ndg tuulize tunaofuatilia SPL ,pirates ,kaizer ni kawaida kujaza uwanja sio jambo la yanga wala team yoyote hizo team zina wanachama kindakindaki ,waliokaa south wanajua nachokisema
 
Ndg tuulize tunaofuatilia SPL ,pirates ,kaizer ni kawaida kujaza uwanja sio jambo la yanga wala team yoyote hizo team zina wanachama kindakindaki ,waliokaa south wanajua nachokisema
Lakini na wewe una shauku ya kuitazama mechi ya kesho
Yanga vs kaiza chiefs
 
Huo ni uhalisia, tuna kikosi kipya na hatujui kama kimeshakuwa timu au tunaenda kutegemea uwezo wa mchezaji mmoja mmoja.
1976 Yanga walifungwa 6 na Sanda kwasababu wachezaji wote wa Yanga walikuwa wamefukuzwa na hivyo kuchezesha Yanga B. Sanda FC walifurahi sanaaa kwa hattrick ya Kibadeni.
Subirini Agosti 8 kisasi kilipwe.
Natabiri hattrick ya Dube.
 
1976 Yanga walifungwa 6 na Sanda kwasababu wachezaji wote wa Yanga walikuwa wamefukuzwa na hivyo kuchezesha Yanga B. Sanda FC walifurahi sanaaa kwa hattrick ya Kibadeni.
Subirini Agosti 8 kisasi kilipwe.
Natabiri hattrick ya Dube.
Uzuri Furaha yetu haina mihemko, kuna wale wanachemka mpaka wanalipia mabango.
 
Uzuri Furaha yetu haina mihemko, kuna wale wanachemka mpaka wanalipia mabango.
Utalipiaje mabango wakati una sonona, moyo unavuja damu, huna hela, mchezaji ambaye ni nembo ya klabu anakwenda kwa mpinzani?
Mhemuko (wa furaha?) utoke wapi kwa hali kama hii?
 
Halafu Club mkatengeneza faida kiasi gani mwisho wa mwaka? Vyura manara alijua kuwaweza.
Just convert furaha ya wana Yanga kuwa cash au kuwa anything ambacho kitakupa uelewa wa faida iliyopatikana..!! Si kila faida ipo kwenye monetary value, nyingine ni emotional, dignity, satisfaction etc..!! Makolo mna shida sana.
 
Mechi ya Yanga na Kaizer chiefs imevunjwa record ya soccer la south Africa kuuzwa zote kabla ya siku mbili ya mchezo.

Unaambiwa mtaani watu wa South Africa wanahamu sana kuitazama team kubwa Africa Young Africans

Wanataka wamuone Aziz ki, Chama, mudathir n.k

Hii team ya Young Africans ishakuwa team kubwa Africa wamefanya pre season kubwa, wamecheza na team ya Bundasliga na zingine za South Africa

Mbumbumbu huko Egypt wao ni kucheza na team dhaifu za wanafunzi wa vyuo vya Madrasa na matokeo kuwa ya kificho wakitaka mashabiki wa Simba wasione.

Go Yanga tuwakilishe
Ile tulimfanyia Mamelodi wasauz wakaukubali muziki, na hii Augsburg na TS Galaxy wameona hii ni timu kubwa.
 
Mechi ya Yanga na Kaizer chiefs imevunjwa record ya soccer la south Africa kuuzwa zote kabla ya siku mbili ya mchezo.

Unaambiwa mtaani watu wa South Africa wanahamu sana kuitazama team kubwa Africa Young Africans

Wanataka wamuone Aziz ki, Chama, mudathir n.k

Hii team ya Young Africans ishakuwa team kubwa Africa wamefanya pre season kubwa, wamecheza na team ya Bundasliga na zingine za South Africa

Mbumbumbu huko Egypt wao ni kucheza na team dhaifu za wanafunzi wa vyuo vya Madrasa na matokeo kuwa ya kificho wakitaka mashabiki wa Simba wasione.

Go Yanga tuwakilishe
Simba huwa inakuchomachoma kama umekalia kipisi cha mbooooga ya majani eeh
 
Back
Top Bottom