Mechi ya Yanga vs kaiza chiefs, tiketi zote SOLD OUT, wa south wana hamu ya kuitazama Yanga

Mechi ya Yanga vs kaiza chiefs, tiketi zote SOLD OUT, wa south wana hamu ya kuitazama Yanga

Mechi ya Yanga na Kaizer chiefs imevunjwa record ya soccer la south Africa kuuzwa zote kabla ya siku mbili ya mchezo.

Unaambiwa mtaani watu wa South Africa wanahamu sana kuitazama team kubwa Africa Young Africans

Wanataka wamuone Aziz ki, Chama, mudathir n.k

Hii team ya Young Africans ishakuwa team kubwa Africa wamefanya pre season kubwa, wamecheza na team ya Bundasliga na zingine za South Africa

Mbumbumbu huko Egypt wao ni kucheza na team dhaifu za wanafunzi wa vyuo vya Madrasa na matokeo kuwa ya kificho wakitaka mashabiki wa Simba wasione.

Go Yanga tuwakilishe
HAHHAHAHAHA eti mbumbumbu wanacheza na team za vyuo vya madrasa!hahahah
 
Utalipiaje mabango wakati una sonona, moyo unavuja damu, huna hela, mchezaji ambaye ni nembo ya klabu anakwenda kwa mpinzani?
Mhemuko (wa furaha?) utoke wapi kwa hali kama hii?
Amezungumzia kipindi cha ushindi wa goli 6, Soma taratibu mkuu utaelewa. Hapa umehemka kama wakati wa kulipia bango.
 
Umeshawahi kujiuliza kwanini Yanga akicheza na 'Lipuli' mechi inakuwa haina watu wengi ukilinganisha na Yanga akicheza na 5imba au Azam?

Yanga na Augsburg, timu zote hizi ni za nje ya Afrika kusini, huwezi linganisha idadi ya watazamaji wakati timu yao pendwa (Keizer) inapocheza na Yanga iliyodhurumiwa GOLI wakati ikicheza na Masandawana...!!
Kwahiyo tumekubaliana kwamba waSouth wanaenda kuiona timu yao ya Kaizer na sio Yanga.

Manake umethibitisha mwenyewe kwamba mechi mbili alizocheza Yanga watazamaji walikuwaa wachache.

Kama watazamaji wangekuwa wanavutiwa na Yanga manake wangejaza uwanja bila kujali anacheza na nani as long as Yanga anacheza.
 
Kwahiyo tumekubaliana kwamba waSouth wanaenda kuiona timu yao ya Kaizer na sio Yanga.

Manake umethibitisha mwenyewe kwamba mechi mbili alizocheza Yanga watazamaji walikuwaa wachache.

Kama watazamaji wangekuwa wanavutiwa na Yanga manake wangejaza uwanja bila kujali anacheza na nani as long as Yanga anacheza.
Ni kweli, maana Kaizer anacheza na Kaizer..!!
 
🤣🤣🤣Eti wanafunzi wa madrasa🤣🤣. Hongereni yanga kwa pre-season nzuri.
Tukutane kwenye ligi.
 
Ingekuwa shida ya wa South ni kuiona Yanga basi wangejaa siku ya mechi za Yanga v Augsburg na Yanga v TS Galaxy.

Lakinbi viwanja vilikuwa vitupu hakuna mashabiki.

Kwakuwa Kaizer Chiefs ndiyo timu yenye mvuto pale Bondeni ndiyo maana mashabiki watajaa uwanjani. Kaizer Chiefs na Orlando Pirates ni kama Simba na Yanga hapa Bongo.

Hao wamejaa kuiona timu yao ya Kaizer Chiefs baada ya kuwa na kocha mpya maana imepitia kipindi kigumu mno hadi kwenye msimamo wa ligi haipo top 5.
Waalimu huwa mnaandika maandishi mengi.
 
Back
Top Bottom