Mechi ya YANGA yaingiza mapato zaidi kuliko mechi za Simba, hata zile za CAF

Haji kaona mapato ya Simba mechi moja tu ya Simba Vs Olrando milioni 197tsh.
Simba imecheza mechi ngapi kwa Mkapa za CAF na imeingiza kiasi gani?,alafu aweke na mapato ya Utopolo kama yapo kwenye michuano ya CAF imeingiza kiasi gani msimu huu?.

kwenye mapato ya viingilio Simba inapesa zaidi ya timu zote Tanzania kwasababu ya Simba kucheza mechi nyingi za CAF kuliko Utopolo.
 
Kwa mechi ya juzi Yanga walikuwa wengi kiasi kuliko Simba
 
Wewe ni wa kupuuzwa,wewe si ndio uliesema humu Yanga msimu uliopita iliongoza kwa mapato sababu match zote za 2 derby makolo mlikua wengi na makolo wenzako wakakupa like za kumwaga kama vile derby zote za last season mapato alichukua Yanga!
 
Wewe ni wa kupuuzwa,wewe si ndio uliesema humu Yanga msimu uliopita iliongoza kwa mapato sababu match zote za 2 derby makolo mlikua wengi na makolo wenzako wakakupa like za kumwaga kama vile derby zote za last season mapato alichukua Yanga!
Sio wa kupuuzwa, leta ushahidi wa kusema kuwa kuna derby ambayo Yanga aliingiza mashabiki wengi kuliko wa Simba

Na kweli Yanga anaongoza mapato Kwa sababu Simba ndio wanamsaidia, last season Yanga kamzidi Simba idadi ya kuingiza mashabiki Kwa tofauti ya watu 3000

Lakini mechi zote za derby Simba wanaingia robo Tatu, maana yake kama uwanja uliingiza watazamaji 40000 basi wa Simba ni 30000, kwahiyo hela mnazotamba kuizidi Simba mnazipata kupitia hao hao Simba

Kama hamtaki leteni takwimu ni derby ipi mliwahi kuwa wengi uwanjani kuliko Simba, na mkitaka tusiende mbali leteni statistics za mechi ambazo Simba haihusiki tuone kama mna uwezo wa kuingiza ata mashabiki 25000 Tu tofauti na mwanachi day

Si mnashirki nanyie club bingwa na shirikisho ni lini mlijaza uwanja katika mashindano hayo? Tofauti na ile game na Tp mazembe ambapo Manji aliwaingiza Bure, tofauti na hapo hakuna ata game moja ya kimataifa mmejaza uwanja

Nyie kujaza uwanja ni Hadi muwe kwenye bonanza lenu au hadi mcheze na simba na mkicheza na Simba, wanaojaza uwanja ni Simba, Simba ishazoea issue za kujaza uwanja haijarishi inacheza na Nani

Nendeni uwanjani mkaipe support team yenu kwenye game za derby sijui waga mnaogopa nini ilhali team inafanya vizuri, kelele nyiiiingi za kuingiza mapato mengi kupitia mashabiki wa team pinzani
 
Nachokuuliza hizo derby zote 2 mapato yote yalienda kwa Yanga?then angalia picha ya derby ya juzi angalia kwenye viti vya kijani upande wa kolo' na upande wa Wananchi utapata jibu,na ndio maana nasema ukuwepo uwanjani

 
Kwa mechi ya juzi Yanga walikuwa wengi kiasi kuliko Simba
Mkuu hebu tazama hiyo picha alafu unieleweshe hao mashabiki wengi unaowasema wewe unaona wamekaa jukwaa lipi?

Me hapo naona mashabiki wa Simba ni wengi Hadi wamekaa kwenye jukwaa la Yanga, we unaona vipi mkuu?
 
Nachokuuliza hizo derby zote 2 mapato yote yalienda kwa Yanga?then angalia picha ya derby ya juzi angalia kwenye viti vya kijani upande wa kolo' na upande wa Wananchi utapata jibu,na ndio maana nasema ukuwepo uwanjani

View attachment 2208636
We jamaa kumbe ni mgeni wa uwanja wa Taifa na wala huendagi uwanjani, hujui kama huo upande ni upande wa Yanga?

Ukiona Simba wamefika hadi huko ujue kwamba Mashabiki wa Yanga ni wachache, unaleta kapicha kanakoonesha robo ya uwanja Tu me nimeleta picha inayoonesha uwanja mzima, leta picha inayoonesha uwanja mzima alafu tuangalie kama nyie mlikuwa wengi

Na kuhusu kuingia uwanjani, me tangu nihamie Dar naingia derby zote tangu mwaka 2016, na tangu mwaka huo hakuna ata Derby moja ambayo mashabiki wa Yanga walikuwa wengi kuliko wa Simba, HAKUNAAAAA

Narudia tena kukuwekea picha inayoonesha uwanja mzima nawewe katafute yako ulete hapa, na usilete Ile aliyopost Manara ya siku wa wanachi Kwa kukwepa aibu, maana yeye na Bumbuli wamezunguka media zote kufanya promo na bado mashabiki mmeingia kama vile mnaenda kuaga maiti
 
Kweli manara alikuwa sahihi kusema yanaga wenye akili ni Jakaya na baba yake,mliobaki wengine takataka
 
Kinacho fanya Simba isipate mapato mengi katika Mechi zake ni ununuaji wa Tiketi.
Mashabiki wa Simba wengi wananunua tiketi za Magumashi zinazouzwa pale uwanjani.
Tofauti na Washabiki wa Yangu huwa wagumu kununua tiketi za mikononi.
Ndio maana Walanguzi wa Tiketi wanachukia sana Mechi za Yanga coz ngumu kupata Pesa. Walanguzi wanadai kua mshabiki wa Yanga yupo tayari kukaa foleni kusubili Tiketi hata kama Mpira umeanza,ilihali washabiki wa Simba hawapo hivyo.
 

Mechi ya YANGA yaingiza mapato zaidi kuliko mechi za Simba...hata zile za CAF​

 

Mechi ya YANGA yaingiza mapato zaidi kuliko mechi za Simba...hata zile za CAF​

 

Mechi ya YANGA yaingiza mapato zaidi kuliko mechi za Simba...hata zile za CAF​

 

Mechi ya YANGA yaingiza mapato zaidi kuliko mechi za Simba...hata zile za CAF​

 
Mada inaelekeza hivi makolo bisheni kwa fact

Mechi ya YANGA yaingiza mapato zaidi kuliko mechi za Simba...hata zile za CAF​

 
Hii ipo wazi Yanga msimu huu tuko bizuri sana na hii ni kutokana na quality ya wachezaji

Ushahidi huanzia mtaani huku kwetu siku ya game yeyote ya Yanga tunajazana balaa wasabiki wa Yanga na Simba lakini siku ya game yoyote simba watu hawajitokezi kwa wingi hata wa simba wenyewe! Labda tu ile michuano ya Caf

Yanga hii ina mvuto,ukitaka thibitisha hilo pimia hizi game za kesho na keshokutwa Namungo vs Simba,..na Ruvu shooting vs Yanga
 
Kwa hiyo mnakuwa na mvuto mnapocheza na simba tu maana mlivyocheza na Azam, Namungo, Rivers utd hatujaona mkijivunia takwimu za mapato?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…