Mechi ya YANGA yaingiza mapato zaidi kuliko mechi za Simba, hata zile za CAF

Hao makolo hata mkataba wa azam media Yanga wamewazidi,sema uwa wanajitoa tu ufahamu
 
Umeshahamisha magoli, mimi nimezungumzia credibility ya Haji Manara katika kutoa takwimu,mara ngapi ana kana kauli zake na kudai kuwa labda amezitoa akiwa amelewa.
Aaaah Basi mwambie ally atuletee takwimu za timu zenu mkuu[emoji23][emoji23]
 
Yani hapo ndio nilipoona jamaa anatumia nguvu kubwa sana kujiona wao ni wakubwa hadi kufikia hatua anapotosha
Mkuu.....leteni takwimu zenu tufanye comparison kdg
 
Hapo imechukuliwa mechi hyo .....it means ndiyo ina mapato makubwa kuliko mech zngine
 
Manara karudi tena maktaba[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Mzungu masai anateseka sana.
Kaenda kuwaletea takwimu za

BOCCO na NGUSHI yupi mkali[emoji23][emoji23]
 
Koo una maanisha Makolo hawana akili[emoji23][emoji23]
 
Kabsa mkuu
 
We huona gap hapo juu kwenye jukwaa la simba?
Achana nae huyo ashavurugwa,tushawaacha point 13 na juzi badala ya kujilaumu kwa kushindwa kupunguza gap wakashangilia kwa mayele kutofunga,wameamua wajifariji kivingine ila gap 13 points linawauma sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…