Mechi ya YANGA yaingiza mapato zaidi kuliko mechi za Simba, hata zile za CAF

Mechi ya YANGA yaingiza mapato zaidi kuliko mechi za Simba, hata zile za CAF

Hii ipo wazi Yanga msimu huu tuko bizuri sana na hii ni kutokana na quality ya wachezaji

Ushahidi huanzia mtaani huku kwetu siku ya game yeyote ya Yanga tunajazana balaa wasabiki wa Yanga na Simba lakini siku ya game yoyote simba watu hawajitokezi kwa wingi hata wa simba wenyewe! Labda tu ile michuano ya Caf

Yanga hii ina mvuto,ukitaka thibitisha hilo pimia hizi game za kesho na keshokutwa Namungo vs Simba,..na Ruvu shooting vs Yanga
Hao makolo hata mkataba wa azam media Yanga wamewazidi,sema uwa wanajitoa tu ufahamu
 
Umeshahamisha magoli, mimi nimezungumzia credibility ya Haji Manara katika kutoa takwimu,mara ngapi ana kana kauli zake na kudai kuwa labda amezitoa akiwa amelewa.
Aaaah Basi mwambie ally atuletee takwimu za timu zenu mkuu[emoji23][emoji23]
 
Yani hapo ndio nilipoona jamaa anatumia nguvu kubwa sana kujiona wao ni wakubwa hadi kufikia hatua anapotosha
Mkuu.....leteni takwimu zenu tufanye comparison kdg
 
Haji kaona mapato ya Simba mechi moja tu ya Simba Vs Olrando milioni 197tsh.
Simba imecheza mechi ngapi kwa Mkapa za CAF na imeingiza kiasi gani?,alafu aweke na mapato ya Utopolo kama yapo kwenye michuano ya CAF imeingiza kiasi gani msimu huu?.

kwenye mapato ya viingilio Simba inapesa zaidi ya timu zote Tanzania kwasababu ya Simba kucheza mechi nyingi za CAF kuliko Utopolo.
Hapo imechukuliwa mechi hyo .....it means ndiyo ina mapato makubwa kuliko mech zngine
 
Manara karudi tena maktaba[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Mzungu masai anateseka sana.
Kaenda kuwaletea takwimu za

BOCCO na NGUSHI yupi mkali[emoji23][emoji23]
 
Kinacho fanya Simba isipate mapato mengi katika Mechi zake ni ununuaji wa Tiketi.
Mashabiki wa Simba wengi wananunua tiketi za Magumashi zinazouzwa pale uwanjani.
Tofauti na Washabiki wa Yangu huwa wagumu kununua tiketi za mikononi.
Ndio maana Walanguzi wa Tiketi wanachukia sana Mechi za Yanga coz ngumu kupata Pesa. Walanguzi wanadai kua mshabiki wa Yanga yupo tayari kukaa foleni kusubili Tiketi hata kama Mpira umeanza,ilihali washabiki wa Simba hawapo hivyo.
Koo una maanisha Makolo hawana akili[emoji23][emoji23]
 
Hii ipo wazi Yanga msimu huu tuko bizuri sana na hii ni kutokana na quality ya wachezaji

Ushahidi huanzia mtaani huku kwetu siku ya game yeyote ya Yanga tunajazana balaa wasabiki wa Yanga na Simba lakini siku ya game yoyote simba watu hawajitokezi kwa wingi hata wa simba wenyewe! Labda tu ile michuano ya Caf

Yanga hii ina mvuto,ukitaka thibitisha hilo pimia hizi game za kesho na keshokutwa Namungo vs Simba,..na Ruvu shooting vs Yanga
Kabsa mkuu
 
Uwanja umegawanyika hapo,halafu angalia kule juu green uone wapi kuna gap,eti makolo.walijaa hadi sehemu ya uwanja!

View attachment 2208810
Ilikuwa dakika ya ngapi we uto
Hii dakika ya 60 huko 👇

15E6ABF3-5279-439C-BADC-B6FD783D2653.jpeg
 
We huona gap hapo juu kwenye jukwaa la simba?
Achana nae huyo ashavurugwa,tushawaacha point 13 na juzi badala ya kujilaumu kwa kushindwa kupunguza gap wakashangilia kwa mayele kutofunga,wameamua wajifariji kivingine ila gap 13 points linawauma sana
 
Back
Top Bottom