MO11
JF-Expert Member
- Mar 23, 2014
- 19,057
- 39,387
Kutokana na Simba itabeba ubingwa wa caf champions league msimu ujao sasa tumerahisishiwa
Shirikisho la soka Afrika limebadili sheria ya mechi za fainali
sasa mbungi kuputwa uwanja usio na mwenyewe
mechi itakuwa moja tu
Ahsante kwa Wydad Casablanca figisu mlizofanyiwa zitaibeba Simba
Ndala nyinyi mtashiriki tu
Shirikisho la soka Afrika limebadili sheria ya mechi za fainali
sasa mbungi kuputwa uwanja usio na mwenyewe
mechi itakuwa moja tu
Ahsante kwa Wydad Casablanca figisu mlizofanyiwa zitaibeba Simba
Ndala nyinyi mtashiriki tu