Mechi za mwisho VPL,Vita ya ubingwa na kushuka daraja

90' Mins | Simba 2 - 1 Mwadui

19' Shiza Kichuya (Simba)
25' Ibrahim Ajib (Simba)
43' Paul Nonga (Mwadui)
 
Baada ya refa kukataa kutoa goli uku kalipwa cash,wachezaji wa Yanga wataka kumshushia kipigo.
 
Leo ligi inafika ukingoni na timu zinazoshuka ni Toto africa yeye uwa anamkomalia simɓa tu mwingine Africa lion yeye na yy alikomaa na simba sasa anashuka na Jkt ruvu
 
Miamala FC wapewe tu zile point ili wachukue ubingwa! Yanga wamezingua!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…