Mechi za mwisho VPL,Vita ya ubingwa na kushuka daraja

Mechi za mwisho VPL,Vita ya ubingwa na kushuka daraja

Licha ya kumaliza kwa kufungwa goli 1 kwa 0 na mbao FC Yanga ya Dar es salaam
Wamechukua kombe hilo kwa mara ya 3 mfululizo.

Sasa Tunaingia mtaani kusherehekea
 
  • Thanks
Reactions: SDG
Yanga FC hongera sana kwa kuwa Bingwa Tanzania kwa Ligi Kuu. Na hongera wengine wote waliobaki Ligi kuu hasa Mbao FC
 
Back
Top Bottom