Mechi za mwisho VPL,Vita ya ubingwa na kushuka daraja

Yanga bingwa mzee. Msimu ujao mikakati ni kutangazwa mabingwa Kabla ya mechi3 ligi kumalizika.
 
Hatuna shida na ubingwa wa Africa..mara ya 27 mabingwa
 
Hatimae Rais wa TFF kupitia kamati yake amefanikisha alichokitaka ili Yanga ipate Ubingwa.Hongera sana Jamali Malinzi naamini utazishawishi hata kamati chama cha Soka cha Afrika kuipangia timu dhaifu ili itwae Ubingwa wa Afrika.
Mezani fc, malalamiko ka MTT wa kambo fc
 
Hii ni ripoti au taarifa?
 
Simba bado itabaki kua timu bora msimu huu kama ilivyo kwa yanga japo kiviwango yanga kashuka ikilinganishwa na misimu miwili ilopita
 
Mpira wa kibongo shida sana, Liver na Sevilla fainali ya mwaka juzi mabeki wa Sevilla walinawa mpira kama mara 4 na Liver walishindwa ile fainali.

Lakini hakuna sehemu waliyolalamika. Wazia pale ingekua ipo timu kutoka bongo, kwanza refa angepigwa ngumi mpaka angejiuliza kua katika kazi zote duniani kwanini aliamua kua refa, no fck that, angejiuliza kwanini duniani kuna mchezo wa mpira.
 
Asante kwa kutujulisha kuwa wewe ni shabiki wa liverpool
 
Na hilo litawakosti endapo huko FIFA wakifeli basi sheria itawatafuna. Hizo point wangekomaa ndani ya dakika 90 haya mambo yasingekuwepo ila tatizo wanataka mezani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…