Jibu swaliUnajua kusoma ?
Hakika.Rage hakukosea kuwaita Mambumbumbu
Kwani King'amuzi cha Azam kinaonekana Tanzania pekee?safi sana. simba sasa inatakiwa kuonekana duniani
Hili neno ulilomwita banadamu mwenzako mlemavu kana kwamba alichagua mwenyewe kuwa hivyo nadhani Mungu ambaye alimuumba hivyo kwa mapenzi yake anakusikia kilio chako cha kutaka hali kama hiyo au changamoto kubwa zaidi. Amin amin nakuambia utayashuhudia kwenye mmoja wa wanafamilia yako ili ujue adha ya kuzaliwa na changamotoHali si shwari huko Lamba lambani baada ya kumpa mlemavu nafasi ya kutukana matajiri
Sasa matajiri nasikia wanapanga mechi zao kuoneshwa na dstv kuanzia tamasha la Simba day mpaka mechi za kimataifa
Mimi kama shabiki wa simba haswa tupo upande wa tajiri
hata kama hatuna ving'amuzi tutaenda vibanda umiza na tutaangalia tu
enhee si wamemwaga ugali sisi tunakula mboga
Mo hata dstv wakitoa hela kidogo wewe chukua tu
Mpaka watoke hadharani kutuomba msamaha kwa kumpa nafasi mlemavu
nitajie nchi zinazotumia hiki king'amuzi uchwaraKwani King'amuzi cha Azam kinaonekana Tanzania pekee?
Sadaka naweka wapi au nikutumie tigo pesaHili neno ulilomwita banadamu mwenzako mlemavu kana kwamba alichagua mwenyewe kuwa hivyo nadhani Mungu ambaye alimuumba hivyo kwa mapenzi yake anakusikia kilio chako cha kutaka hali kama hiyo au changamoto kubwa zaidi. Amin amin nakuambia utayashuhudia kwenye mmoja wa wanafamilia yako ili ujue adha ya kuzaliwa na changamoto
Leo umepost uzi unaoendana na picha(avatar )uliyoweka.Hali si shwari huko Lamba lambani baada ya kumpa mlemavu nafasi ya kutukana matajiri.
Sasa matajiri nasikia wanapanga mechi zao kuoneshwa na Dstv kuanzia tamasha la Simba Day mpaka mechi za kimataifa.
Mimi kama shabiki wa Simba haswa tupo upande wa tajiri, hata kama hatuna ving'amuzi tutaenda vibanda umiza na tutaangalia tu
Enhee si wamemwaga ugali sisi tunakula mboga
Mo hata Dstv wakitoa hela kidogo wewe chukua tu
Mpaka watoke hadharani kutuomba msamaha kwa kumpa nafasi mlemavu