playboy babu
JF-Expert Member
- Nov 12, 2015
- 2,648
- 1,566
So Yule kenge alivyodhalilisha club kwa press yake ya kishoga unataka Mo kama muwekezaji awazawadie gari azam kwa ile airtym ya kipuuzNadhani Ni personal interest na Vita ya kibiashara Kati ya Mo na Bakheresa (Azam ). Huyu Mo hasipoangaliwa kwa hicho la tatu ataleta matatizo kwenye tasnia ya soka la nchi hii.
Hivi Sasa yeye Ni kama ameishikilia vyombo vyoote vinavyoendesha shughuri za soka hapa nchini, kiufupi tff hawana namba likija suala Simba sc haswa likiwa kwenye maskahi ya Mo. Tafadhari tuwe makini na wawekezaji wa namba hii.
Mwana, kwa komenti yako, ni kama unaikurupua vileee..!!! AhahahahaaaHawa ndio wanafanya bangi Ionekane mbaya na ina madhara
Kweli mkuu hawa ndo wanafanya bangi ichelewe kuhalalishwa nchiniMwana, kwa komenti yako, ni kama unaikurupua vileee..!!! Ahahahahaaa
Huu ni uzushi wa karne. Mleta mada ameamua kuleta taharuki isio na msingi kabisa. Ligi ni ya TFF na Simba ni mshiriki tu kama timu nyingine. TFF walishasaini makubaliano na Azam Media na kuwauzia haki ya kuonyesha matangazo ya mpira. Simba wanalijua hilo na hawana uwezo wa kulipinga au kuligomea. Wakati mwingine ni vizuri tukalitumia hili jukwaa kuleta hoja za msingi na zenye kujenga badala ya kuleta taharuki kwa vitu ambavyo vipo wazi kabisa na mustakabali wake unajulikana wazi.
Umewapasha kuntuHuu ni uzushi wa karne. Mleta mada ameamua kuleta taharuki isio na msingi kabisa. Ligi ni ya TFF na Simba ni mshiriki tu kama timu nyingine. TFF walishasaini makubaliano na Azam Media na kuwauzia haki ya kuonyesha matangazo ya mpira. Simba wanalijua hilo na hawana uwezo wa kulipinga au kuligomea. Wakati mwingine ni vizuri tukalitumia hili jukwaa kuleta hoja za msingi na zenye kujenga badala ya kuleta taharuki kwa vitu ambavyo vipo wazi kabisa na mustakabali wake unajulikana wazi.