Linguistic
JF-Expert Member
- Mar 16, 2021
- 3,669
- 8,268
Wakuu Taarifa Zilizopo ni Kwamba Simba wanataka mechi zao za Ligi Kuu zirushwe supersport badala ya Azam TV.
Taarifa ni Kuwa Azam wameambiwa kama wanataka Haki za matangazo Kwa Simba inabdi waombe msamaha kuhusu sakata la Manara na waweke mpunga wa maana.
Mbali na hivo mechi za Simba na matangazo mengine mengine yataonyeshwa Supersport.
Wakuu Hiyoo imakaaaje?
Taarifa ni Kuwa Azam wameambiwa kama wanataka Haki za matangazo Kwa Simba inabdi waombe msamaha kuhusu sakata la Manara na waweke mpunga wa maana.
Mbali na hivo mechi za Simba na matangazo mengine mengine yataonyeshwa Supersport.
Wakuu Hiyoo imakaaaje?