Mechi za Simba zilizobaki BODI ya LIGI washamaliza matokeo siku nyingi nawaonea Hawa tma Leo Bora wangekaa bar sinza wanywe pombe wageuke

Mechi za Simba zilizobaki BODI ya LIGI washamaliza matokeo siku nyingi nawaonea Hawa tma Leo Bora wangekaa bar sinza wanywe pombe wageuke

Pdidy

JF-Expert Member
Joined
Nov 22, 2007
Posts
57,951
Reaction score
32,619
Nasikia kuna Katibu kanaitwa tma

YAAN kangejua Refa ameshapewa matokeo mapema na BODI ya LIGI HATA wasingeingia
uwanjani

Kifupi mnaoenda kuchexa na Simba Mjuee mnapambana na BODI ya LIGI

Muwe makini KUFUNGWA mtafungwa ANGALIEN usalama WA afya xenu
 
Back
Top Bottom