Mechi za Yanga zichunguzwe, haiwezekani wanashinda mechi kirahisi namna hii

Mechi za Yanga zichunguzwe, haiwezekani wanashinda mechi kirahisi namna hii

Nimependa tu kuona Yanga haina kiwango bora zaidi ya ujanja ujanja wa GSM kwa baadhi ya wachezaji wa Mtibwa hasa fowadi aliyevaa kiatu chekundu na kihimbwa
Umeingia kwenye mtego wa Mtu kijinga Sana. Wewe na huo ushabiki maandazi wako kaa pembeni. Erythrocyte ni shabiki kindakindaki wa Yanga.
 
Tukitaka kukuza soka la Tanzania tunapaswa kucheza na kushinda kwa haki .

Hii game ya Mtibwa vs Yanga ni kama ya kimchongo kabisa yaani , magoli yaliyofungwa mbona ni laini sana ! inakuwaje Mtibwa wanacheza wao lakini wanafungwa kizembe vile ?

Kuna haja ya kuchunguza kama kulikuwa na maelewano ya nje ya Uwanja kati ya timu hizi mbili .

Naomba kuwasilisha .
Pole sana ila Maumivu yakizidi muone daktari
 
Tukitaka kukuza soka la Tanzania tunapaswa kucheza na kushinda kwa haki .

Hii game ya Mtibwa vs Yanga ni kama ya kimchongo kabisa yaani , magoli yaliyofungwa mbona ni laini sana ! inakuwaje Mtibwa wanacheza wao lakini wanafungwa kizembe vile ?

Kuna haja ya kuchunguza kama kulikuwa na maelewano ya nje ya Uwanja kati ya timu hizi mbili .

Naomba kuwasilisha .
Umesahau mechi ya coastal mkwakwani? Hawa ni wazee wa mchongo tuu
 
Zile bilioni 2 kaamua akaziwekeze katika kuhonga marefa na timu pinzani ili zilegeze
 
Haiwezekani anafungwa mtibwa alafu tunaoumia ni sisi MAKOLO

Huu ni uzi maalum wa makolo kujifariji na kutuliza maumivu

FMQruzUWQAQB9qe.jpeg
 
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]kwaiyo mto post umefikilia vzur ukakubaliana na ukooo wako upost uu ujinga[emoji1]Mtoa POSt unaonaje huu muda ULIOTUMIA kupost huu ujinga wako ungekua unasoma namna ya kutfta pesa kWA kutumia fursa zilizopo mtaan kwako badilika Acha ujinga soma usiwe mtu wa akili za 0.0 yaani zero Brain
 
Kuna mtu humu jf mida ya mchana kacomment kwenye uzi fulani na kusema sahv kipa wa mtibwa ameshapewa kitita chake
 
Tukitaka kukuza soka la Tanzania tunapaswa kucheza na kushinda kwa haki .

Hii game ya Mtibwa vs Yanga ni kama ya kimchongo kabisa yaani , magoli yaliyofungwa mbona ni laini sana ! inakuwaje Mtibwa wanacheza wao lakini wanafungwa kizembe vile ?

Kuna haja ya kuchunguza kama kulikuwa na maelewano ya nje ya Uwanja kati ya timu hizi mbili .

Naomba kuwasilisha .
Coastal Union huwa anakkmaaga na Yanga na saa nyingine hata kumfunga, ila Simba huwa anajipigia hata saba, hii nayo ni michongo ya nje ya uwanja?
 
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]kwaiyo mto post umefikilia vzur ukakubaliana na ukooo wako upost uu ujinga[emoji1]Mtoa POSt unaonaje huu muda ULIOTUMIA kupost huu ujinga wako ungekua unasoma namna ya kutfta pesa kWA kutumia fursa zilizopo mtaan kwako badilika Acha ujinga soma usiwe mtu wa akili za 0.0 yaani zero Brain
Cha kufurahisha wote wanaonipinga ni kama wananishutumu kwa kutoa siri ambayo hawakupenda ifichuliwe , hawapingi sana kuhusu magoli laini
 
Back
Top Bottom