Bongo tunaichukulia poa ila ni sehemu nzuri sana kuishiKuna kanjubahi mmoja tuko naye machimboni Kahama wamekuja mpaka familia yake kumfuata kawakatalia katakata kurudi Mumbai, kasema duniani hamna nchi tamu kama Tz, chukulia huyo anaishi pori na intruders, ndo akubari kagere aliyezoea starehe za Dar?
Kuna chimbo huku linaitwa NYAMISHIIGAUko poli gan boss mi nipo mwine hapa nimetoka kutoa mganyalo wa kesho
Wadada wa bongo hawaachag mtu salamaKweli bongo tamu,machozi yamemtoka akipewa mkono wa kwa heri na Simba ila amesema haondoki bongo atapambana apate timu hata kama ni championship league
Hivi ile tabia yenu ya kufunga kwa mkono iliishia wapi?!Tatizo umri! Enzi zile Amiss Tambwe alipigwa zengwe, akajiunga na Wananchi! Kilichotokea baada ya hapo, ilikuwa ni mashabiki tu wa upande alikotoka! kung'oa viti uwanjani.
Kuna muhindi mmoja alikuwa anaridishwa kwao na wahindi wenzake basi alilia mpaka anaingia kwenye ndege bado tu analiaTanzania ni nchi nzuri sana, ukitaka kuamini kawaambie wahindi wasio na uraia warudi kwao.
Bila kumsahau mwarabu Koko wa Yemen sasa hivi anasajili viongozi kwa kuwapinga bumpuKuna muhindi mmoja alikuwa anaridishwa kwao na wahindi wenzake basi alilia mpaka anaingia kwenye ndege bado tu analia
Hahaha. Ukute ndo namna yao ya kupeana adhabu.Kuna muhindi mmoja alikuwa anaridishwa kwao na wahindi wenzake basi alilia mpaka anaingia kwenye ndege bado tu analia
HahahahaHahaha. Ukute ndo namna yao ya kupeana adhabu.
Yes alikuwa hana nidhamu ya kazi kwahyo wakamrudisha IndiaHahaha. Ukute ndo namna yao ya kupeana adhabu.
DaaaaYes alikuwa hana nidhamu ya kazi kwahyo wakamrudisha India