Meddie Kagere asema haondoki bongo, atacheza hata championship

Meddie Kagere asema haondoki bongo, atacheza hata championship

Kuna kanjubahi mmoja tuko naye machimboni Kahama wamekuja mpaka familia yake kumfuata kawakatalia katakata kurudi Mumbai, kasema duniani hamna nchi tamu kama Tz, chukulia huyo anaishi pori na intruders, ndo akubari kagere aliyezoea starehe za Dar?
Bongo tunaichukulia poa ila ni sehemu nzuri sana kuishi
 
Tatizo umri! Enzi zile Amiss Tambwe alipigwa zengwe, akajiunga na Wananchi! Kilichotokea baada ya hapo, ilikuwa ni mashabiki tu wa upande alikotoka! kung'oa viti uwanjani.
Hivi ile tabia yenu ya kufunga kwa mkono iliishia wapi?!
 
Tanzania ni nchi nzuri sana, ukitaka kuamini kawaambie wahindi wasio na uraia warudi kwao.
Kuna muhindi mmoja alikuwa anaridishwa kwao na wahindi wenzake basi alilia mpaka anaingia kwenye ndege bado tu analia
 
  • Thanks
Reactions: Tsh
Kuna muhindi mmoja alikuwa anaridishwa kwao na wahindi wenzake basi alilia mpaka anaingia kwenye ndege bado tu analia
Bila kumsahau mwarabu Koko wa Yemen sasa hivi anasajili viongozi kwa kuwapinga bumpu
 
Bongo kutamu ,watu wanapachukulia poa sana..utamu wake Kuna mkenya mmoja anapapenda hatari...anasema huku maisha peace, totoz kibao cheap ,bata etc .contract yake ikiisha ya kazi anatafuta kazi nyingine ili mradi tu akae bongo..
 
Back
Top Bottom