mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 88,759
- 123,368
MSHAMBIWA TUCHUKUENI TAHADHARIHuyu anahusika moja kwa moja kwa sababu yeye kama rais hakubaliani kuwa huu ugonjwa upo nchini na kwa hiyo hataki kuchukua hatua zozote kuwahami wananchi na janga hili...
[emoji378][emoji378] HAPO SASA AKILI ZA KUAMBIWA CHANGANYA NA ZAKO!
ENDELEENI TU KUNAWA MIKONO,KUVAA MASK,EPUKA MISONGAMANO ISIYOKUWA YA LAZIMA!ZAIDI YA HAPO SERIKALI HAIWEZI KUFANYA LOLOTE MZEE
ova
Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app