MSHAMBIWA TUCHUKUENI TAHADHARIHuyu anahusika moja kwa moja kwa sababu yeye kama rais hakubaliani kuwa huu ugonjwa upo nchini na kwa hiyo hataki kuchukua hatua zozote kuwahami wananchi na janga hili...
Anataka Rais aseme kifo marufuku hapa Tanzania nacho kifo kitamtii...MSHAMBIWA TUCHUKUENI TAHADHARI
[emoji378][emoji378] HAPO SASA AKILI ZA KUAMBIWA CHANGANYA NA ZAKO!
ENDELEENI TU KUNAWA MIKONO,KUVAA MASK,EPUKA MISONGAMANO ISIYOKUWA YA LAZIMA!ZAIDI YA HAPO SERIKALI HAIWEZI KUFANYA LOLOTE MZEE
ova
Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
Acha ujinga mkuu, mpaka redion huwa kuna matangazo ya vifo, au na yenyewe huwa yanakukera? Kicha kipe kazi yake sahihi na siyo kufugia nyweleWanaona raha sana kutangaza misiba. Hawana akili hawa wajinga
Rais si mwanadamu mwenzio. Rais ni binadamu tuliyempa dhamana ya kutuhami katika majanga kama haya. Ndiyo maana tunalipa kodi...
Duhh hivi kuna sehemu mtoa Maada ameonesha kufurahishwa?Mnapenda sana hizi taarifa za misiba sijui mnafurahia ama? So boring
Mnaumiza ndugu jamaa na marafiki kwa ushabiki wenu wa kijinga.
Acheni kufurahia vifo vya wenzenu
Inategemea na nafasi ya mwendazake katika jamii.Inakera kinyama, mtu akisikia msiba tu anawahi JF kuanzisha uzi
Anacholenga mtoa mada ni kuanza kuzungumzia Covid-19 ilihali watu wana magonjwa yaoMnapenda sana hizi taarifa za misiba sijui mnafurahia ama? So boring
Mnaumiza ndugu jamaa na marafiki kwa ushabiki wenu wa kijinga.
Acheni kufurahia vifo vya wenzenu
Ulifungua ya nini kwani head inajieleza acheni mbwembweMnakera na hizi taarifa za misiba..embu nashauri moderators waweke special thread ya tanzia tu , anayetaka kutoa tanzia aweke humo, au wasiojielewa wakifungua thread za tanzia basi mods muupeleke huko special thread ya tanzia
Moderator Maxence Melo
...Kupeana Taarifa za Msiba in Kufurahia Kifo?? Kwa hiyo wewe unaona Taarifa kama hii hakuna mwenzetu atashukuru kuipata kupitia hapa JF? Kweli, Mkuu??[emoji848]Mnapenda sana hizi taarifa za misiba sijui mnafurahia ama? So boring
Mnaumiza ndugu jamaa na marafiki kwa ushabiki wenu wa kijinga.
Acheni kufurahia vifo vya wenzenu
Wafrika bwana.Mnapenda sana hizi taarifa za misiba sijui mnafurahia ama? So boring
Mnaumiza ndugu jamaa na marafiki kwa ushabiki wenu wa kijinga.
Acheni kufurahia vifo vya wenzenu
Kwahiyo unasubiri Rais akuambie unawe mikono, uvae barakoa, n.k?
Basi sawa
MSHAMBIWA TUCHUKUENI TAHADHARI
[emoji378][emoji378] HAPO SASA AKILI ZA KUAMBIWA CHANGANYA NA ZAKO!
ENDELEENI TU KUNAWA MIKONO,KUVAA MASK,EPUKA MISONGAMANO ISIYOKUWA YA LAZIMA!ZAIDI YA HAPO SERIKALI HAIWEZI KUFANYA LOLOTE MZEE
ova
Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
Wanawake wa kiarabu sidhani kama korona itawasumbua manake wao wameanza kuvaa barakoa kitambo!Waarabu na waarabu koko watakufa sana,tatizo wanapenda sana kukusanyika na hapo ndo wanaambukizana. To be honest nimeona wagonjwa wengi ni wanaume waarabu na waarabu koko.
Kwani ye ni doktaApumzike kwa amani.
Ila kwa vifo hivi Mh. Rais kwa kujua au kutojua kwako unatukwaza sana mheshimiwa.
Kwanini unatufanyia hivi kweri?
Hadi afe nani? Au hadi tufe wangapi?
Kwani ye ni dokta
Wanataka kufanya justification ya uwepo wa Corona.Mnapenda sana hizi taarifa za misiba sijui mnafurahia ama? So boring
Mnaumiza ndugu jamaa na marafiki kwa ushabiki wenu wa kijinga.
Acheni kufurahia vifo vya wenzenu
Wanataka kufanya justification ya uwepo wa Corona.